Recent content by hannibali

  1. hannibali

    Saa nane hii uwanja mweupeee

    Kama hakuna ushahidi basi tulizeni kipira
  2. hannibali

    Saa nane hii uwanja mweupeee

    Lete ushahidi wa tiketi kuuzwa zote hapa
  3. hannibali

    Saa nane hii uwanja mweupeee

    Kitulize usubirie mnavyodhalilika leo
  4. hannibali

    Saa nane hii uwanja mweupeee

    Kwa muda kama huu siku ya wananchi ilikuwa hivi
  5. hannibali

    Saa nane hii uwanja mweupeee

    Zimeuzwa zote ushahidi uko wapi?
  6. hannibali

    Saa nane hii uwanja mweupeee

    Kuna tukio la aibu linaenda kutokea leo, hadi dakika hii watu wamesusa sijui maana kwa mkapa kweupeeee tofauti na tamasha la wapinzani lililopita yani ilikiwa hadi dakika hii hakuna pa kuhema. Aya ngoja tuone muda ndo mwamuzi watakavozalilika watu na bonanza lao
  7. hannibali

    Ushauri: Kabeba ujauzito wangu lakini hataki nijihusishe kabisa na yeye

    Huyu manzi tunafanya naye kazi kampuni moja hapa mjini, nina mahusiano naye huu mwezi wa 5. sasa cha kustaajabisha ana mimba yangu ya miezi miwili ila anasema hataki nijihusishe na mimba yake kwani mtoto atamlea mwenyewe.# Nimejaribu kumwambia anieleze ukweli kuhusu hii mimba ameniambia ni...
  8. hannibali

    Diaspora amekufa wengine wanachekelea, kwanini?

    Hawawezi kuwa wote wenye dharau so usikomfimu kwa wote
  9. hannibali

    Diaspora amekufa wengine wanachekelea, kwanini?

    Hapana haiwezi kubalika
  10. hannibali

    Diaspora amekufa wengine wanachekelea, kwanini?

    Utakataza mtu asiende kuzika?
Back
Top Bottom