Mbeya sawa imebarikiwa, lakini pia watu wa mbeya hasa Wanyakyusa wanapiga pr kubwa sana kuhusiana na mkoa wao.
Ukiangalia vitu hivyo vyote jumlisha na hali ya hewa ni sawa kabisa na mkoa wa kagera.
Kanisa linatakiwa kua halijafungamana na upande wowote. Linatakiwa kukema pale ambapo hapako sawa na linatakiwa litoe pongezi pale panapostahili. Ila kwa tulipofikia sasa baadhi ya makanisa yamechagua upande wa kupongeza tu na kisahau upande wa kukemea na kushauri pale mambo yanapo kwenda...
Wengi wameshaolewa ila wameachika. Kuachika ni kwa Sababu ya vitu vingi vingine ni wanavijua wao na wenzi wao wa zamani.
lakini mambo makubwa yanayosababiaha kaachana kwao ni pamoja na wao kusahau majukumu yao kama wake, na pia kujikweza mbele ya waume zao.
Duuu!
Kulombana ni Sanaa masta unaweza mfikisha mwanamke kunako kwa maneno na miguso ya hapa na pale. Kwa kusema hayo naomba ujifinze Sanaa hiyo kwanza kipindi unatafuta sulihisho la tatizo lako mama.
Kuhusu kuwahi kufika mshindo:
Jambo hili hisababishwa na vitu viwili vikibwa ambavyo ni...
Siku zote hua Kuna mambo makuu matatu ya kuzingatia kama yafuatayo:-
1: Sababu ya kununua gari/gari kwa ajili ya nini?
Hapa lazima uangalie na uzingatie ni kwanini unataka kununua gari, inaweza kua ni kwa ajili ya kutembelea, kubebea mizigo na kadhalika.
2: Bajeti yako, hapa ni lazima...
Unyama utakua ni mwingi sana mkuu, ngoja tuone itakavyokua.
Kama huto jali ukipata muda Shusha uzi wa Rally ni moja kati ya kitu tamu sana katika mashindano ya magari. Pia mtu anaweza kwenda shuhudia live hapo kenya kila mwaka.
Aaah, mkuu umeshusha vitu vitamu sana, kiufupi hii race hua ni balaa na hizo hyper cars na classes nyingine wamezio geza ili kuzidi kunogesha mashindano but original yalikua ni Gt tu.
Humu kulikua na unyama wa kila aina na fauls za kutosha. Kwa mtu wa movies pia fuatilia movie inaitwa Ford vs...
Ratiba?, aseeh!
Hua hakuna kitu kama hichi na hata ikipangwa hua inavurugika maana kuna siku kwa ratiba inasema hakuna ila wote ndio mnatakana, kifupi ratiba hua hakuna.
Kama mchangiaji mmoja hapa alivyosema kwenye ndoa sex sio issue kabisa tofauti na mkiwa bado hamjaoana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.