Recent content by Hangomonko

  1. Hangomonko

    TPB APTITUDE TEST RESULTS 31 JULY 2019

    Hongeraaaaaaa wamekutumia lini
  2. Hangomonko

    TPB APTITUDE TEST RESULTS 31 JULY 2019

    Walisema usipo tumiwa meseji jua hujafaulu...kwahyo itakua ndio hivyo tens
  3. Hangomonko

    Hivi makontena yenye makinikia bado yako bandarini? Acacia ni wezi? Washatulipa? Wanachimba na kusafirisha? Smelter vp

    serikal ipo bize kujenga SGR na kuongeza ndege..makinikia sio priority ya nchi[emoji3][emoji3][emoji3]
  4. Hangomonko

    Kufichwa kwa mwanafunzi wa DUCE kwa muda wa siku 20

    huyu jamaa alivyo tu huwezi kumwelewa je maandishi yake utayaelewa...huyu jamaa ndio anayehamasisha walimu kujitolea bure bila malipo anajiita mzalendo wanaosoma duce wanamjua alivyo kwahyo msihangaike sanaaa kuelewa alicho kiandika
  5. Hangomonko

    Anthony Komu, (CHADEMA): Kususia uchaguzi si sahihi haya ni mapambano, kwenye vita unapopigana ukikosea unajisahihisha

    Chadema wamesusia vitu vingi lakini hakuna hata kimoja kilichofanikiwa,kazi ya chama cha siasa ni kuleta Sera mbadala,sasa kama upinzani hamshiriki uchaguzi na kazi kubwa ya chama cha siasa ni kushika dola utashikaje dola bila kushiriki uchaguzi???? Zenji walisusia maccm yakapita kiulani
  6. Hangomonko

    Taarifa muhimu: Mchakato wa kura za maoni CCM jimbo la Singida Kaskazini umefutwa na unarudiwa tena

    Issue sio rushwa wanajua waliompitisha mgombea yeyote wa upinzani akisimama watashindwa maana Gulamali haijui singida na wananchi wa singida kaskazini hawatampa kura pia yule mgombea mwingine aliyeambiwa haruhusiwi kugombea tena ambae ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya singida vijijini...
  7. Hangomonko

    Hizi ni sababu za msingi za UKAWA kutaka tume huru ya Uchaguzi

    Kuna movement gani ya kudai tume huru??.unavyosema tusishiriki unatuumiza sana sisi ambao uchaguzi unatuhusu...ccm wamepitisha mhindi sijui katokea mombay etiii akapite jimbo la singida kaskazini bila kupigwaa
  8. Hangomonko

    Hizi ni sababu za msingi za UKAWA kutaka tume huru ya Uchaguzi

    Kuna movement gani ambayo ipo ya kudai tume huru???kusema etii tukae meza moja na washika mapanga ili tupate tume huru????hicho kitu hakipo hawezi kufanya kitu kama hicho kama bungeni yameshindikana kukaa meza moja na ccm hiyooo n ndoto ya mchana yatakuwa kama yale ya maalim seif...unasusia...
  9. Hangomonko

    Hizi ni sababu za msingi za UKAWA kutaka tume huru ya Uchaguzi

    Upinzani unapoacha kushiriki uchaguzi haina maana ya kuwepo upinzani,hiyoo tume huru utaidaia wap??wakati bungeni mnatolewa,mikutano ya kisiasa marufuku,mahakamani huwezi kwenda kushindaa kesi..upinzani mkisusa wenzenu wanapita bila kupigwa na 2020,ndio hawahawa watasimamia uchaguzi inamaana...
  10. Hangomonko

    Lema: Mbunge wa CHADEMA anatarajia kuhama kati ya Jumatano na Ijumaa

    Millya anaenda kuziba ufa aliouacha
  11. Hangomonko

    Hivi ajira za walimu wametangaza?

    Tarehe 30 imepita ajira za walimu wa sayansi naona njaa
  12. Hangomonko

    The Nape Question!

    Me nauliza tu yule Rais wakolomije anaujuzi gani?
  13. Hangomonko

    Huyo mtu aliyekuwa anasubiri SHILAWADU ni nani?

    Jaman na kile kipindi cha shilawadu nakipenda kweli
Back
Top Bottom