#Wanaume wanakuwa na akili kuliko kawaida muda wa kuoa.
- Maisha ni Kitu cha ajabu sana, kuna wanawake wanawakataa wanaume kwa sababu leo hawana hela, wanawakataa na kuwanyanyasa wanaume eti sababu hawaendeshi magari, hawana uwezo wa kuwanunulia simu kali wanasema "kupenda mwanaume asiye na...
Mahusiano yenyewe ndiyo haya ya zima moto,siku mambo yakilipuka mpaka zima moto wafike ushaadhirika.Hivi kama kweli mtu anakupenda kwanini umrushie au akupige picha za uchi, hapo kuna upendo kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.