Recent content by Handsome Boy 2014

  1. H

    Kitendo cha CHADEMA 'kuimport' viongozi wa Kanda kutoka Kaskazini, je nini nyuma ya pazia?

    Tumia muda mwingi kumshauri Bwana Yule, Au huoni mambo yanaenda mrama.?
  2. H

    Wanaume wanakuwa na akili kuliko kawaida, muda wa kutoa

    #Wanaume wanakuwa na akili kuliko kawaida muda wa kuoa. - Maisha ni Kitu cha ajabu sana, kuna wanawake wanawakataa wanaume kwa sababu leo hawana hela, wanawakataa na kuwanyanyasa wanaume eti sababu hawaendeshi magari, hawana uwezo wa kuwanunulia simu kali wanasema "kupenda mwanaume asiye na...
  3. H

    Ni kipi kitakachomshawishi Mtanzania kuipa CCM kura 2020?

    Nikipewa buku Saba, mm naweka tick tu.
  4. H

    Tetesi: Zitto kutoa Tamko zito juu ya mustakabali wa Chama.

    Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo anatarajia kutoa tamko juu ya hali ya chama na kile kinachoendelea katika Chama hicho.
  5. H

    Mh. Zitto Kabwe ni hazina kwa Taifa hili

    Nimekumbuka maneno ya mwalimu Nyerere kuwa siasa ni mchezo mchafu.
  6. H

    Warioba: Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuongoza nchi

    ...kwa mtazamo wake yuko sahihi.
  7. H

    Andrew Chenge: Toka Ufisadi hadi Uandishi wa Katiba ya nchi

    Enyi wenye nchi ni nani aliyewaloga?
  8. H

    Mambo mengi ninayo yawaza au kuyaota huwa yanatokea kweli tangu Nina mika 12 na sasa Nina mika 18.

    Hakika Mungu ameweka kitu ndani yako...simama katika kumtukuza yeye utazidi kufunuliwa mambo mengi.
  9. H

    Mchinjaji wa ISIS, Mohammed Emwazi aliwahi kuja Tanzania na kushtukiwa na Vyombo vya Usalama

    Mh alaaniwe, huwezi kuchinja binadamu wenzako kama kuku.
  10. H

    Ukipiga picha ya Uchi, unastahili kusitiriwa?!

    Mahusiano yenyewe ndiyo haya ya zima moto,siku mambo yakilipuka mpaka zima moto wafike ushaadhirika.Hivi kama kweli mtu anakupenda kwanini umrushie au akupige picha za uchi, hapo kuna upendo kweli?
Back
Top Bottom