G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Tata cyo kwa nia mbya kumjua...wala cna ubaya naye...make hoja zake huwa zibanikuna sometimes kwa hiyo huwa saa zngne na mu admire kma braza Francis12.Tuna tunajadili kwanini CHADEMA wanaendekeza ukaskazini hata kwenye mikoa mingine wewe bado unakuja na maswali ya kutaka kujua watu wametoka wapi? So what?