Habari kiongozi,kwa Hapo dar soko la asali naweza kulipata wapi?hata mimi asali ninayo ya kutoka karagwe na Bukoba.Please Nahitaji kupata contact za mnunuzi direct.Tuwasiliane 0767440210.
Asante mkuu kwa historia fupi ya changamoto ulizopitia na baadae kufikia mafanikio.
Mimi natafuta wapi kuna Soko la Asali mbichi.Yeyote mwenye kujua tuwasiliane Tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wadau wote
Na mimi nipo mwanza natafuta soko la kuuza virutubisho vya mbegu za chia kwa bei ya jumla.Naweza ku supply kwa kila mkoa ukihitaji.Naomba tuwasiliane 0767440210.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.