peasant serious
Member
- Jan 10, 2018
- 43
- 55
- Thread starter
- #21
ukifuatilia mlolongo wa post tangu mwanzo utaweza kujua ni muda gani hadi saa. Tare 2/12/2017 ilikuwa ni wiki 3 baada ya kupanda kwa ufupi, sasa ni miezi 4 tangu kupanda!Mbona zimekauka mapema sana??
Yaani zao unavuna ndani ya mwezi mmoja??
Umelimia wapi??
Karibu sana