Kwa wale ndugu zangu wenye mawzo mazuri ya kilimo na ufugaji wakati ni huu tumia fursa hii bofya hapa AECF Agribusiness Africa Window Great Business Ideas
wasije wakawa wezi wa mawazo....
Natafuta m2 mwenye pump ya maji aje tufanye nae kazi ya kuotesha maharage machanga fresh beans baada ya miezi 6 tu tuwe napesa za kutosha
Natafuta m2 mwenye pump ya maji aje tufanye nae kazi ya kuotesha maharage machanga fresh beans baada ya miezi 6 tu tuwe napesa za kutosha
Habari kwa wadau wote.Kwa wale ndugu zangu wenye mawzo mazuri ya kilimo na ufugaji wakati ni huu tumia fursa hii bofya hapa AECF Agribusiness Africa Window Great Business Ideas
Natafuta m2 mwenye pump ya maji aje tufanye nae kazi ya kuotesha maharage machanga fresh beans baada ya miezi 6 tu tuwe napesa za kutosha
Mkuu nina petrol water pump Honda za inch mbili na mipira yake PM me