mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,643
- 9,711
Dah hii hatar.Tabora asali yake ilishuka thamani sababu nyuki walikua wanatumia maua ya tumbaku kutengeneza asali,ila walizuia ulimaji wa tumbaku
Ina maana nyuki nao wamechanganyikiwa Kama sisi hii awamu ya tano.