Recent content by Hamukoko-Nansio

  1. H

    JamiiForums Tanzania Jack Cliff hatanyongwa wala kufungwa

    mie nauliza hivi, huyu Jack amewezaje kupita hapo JNIA na huo unga wake, Mwakyembe mie naona bado hajafanya lolote, mikwala tu ile, na alisema kuwa kila kitu kamkabidhi nchimbi na nchimbi hayupo tena je nani sasa atatoa ripoti ya unga ulipo na wapi kesi za sembe zimeishia, yani hii nchi du!!
  2. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumwambia Mumeo Kila Mtongozo!!..Ndo Uaminifu Au????

    ukiona hivyo wanaomtongoza hajawakubali, lakini anayemkubali mkashare mapenzi hamsemi ng'o
  3. H

    JamiiForums Tanzania Comedy ya Mahanjumati imepotelea wapi

    nauliza ile Comedy ya mahanjumat iliyokuwa inarushwa na startv imepotelea wapi, ile ilikuwa ni THE BEST COMEDY HAPA TZ, tunaomba starttv irudishe kipindi kile, kwani hata Ze Comedy, original comedy kuna mambo wameiga kutoka kule
  4. H

    JamiiForums Tanzania Jamani nimeibiwa au ndio halisi? Mwenye kufahamu naomba kujuzwa tafadhali!!

    Gesi gani mnazungumzia, mie nimenunua jana gasi kg 30 kwa shs 55,000/= Mihan Gas
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti na Wanawake wa Bongo

    Wanawake wa Dar wana Viwango vyao vya Hela.. Ukiwa unampa 50,000-90,000 utakuwa unaitw aJina lako tu, Goodmorning Kelvin..Hallow Kelvin How is your Day...Goodnite Kelvin Ukiwa unampa kati ya 100,000 na 150,000 utakuwa unaitwa DEAR...Morning Dear..Umeamkaje Dear..Dear Umekula??Usiku mwema Dear...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Majibu ya dawa za kulevya

    Nakumbuka miezi iliyopita mheshimiwa mwakyembe alisema kuwa keshapeleka kesi kama 30 za madawa ya kulevya na waziri wa mambo ya ndani anashughulikia kwani kapewa kazi hiyo, atueleze wamechukuliwa hatua gani, na sembe walilokamatwa nalo liko wapi, lakini mpaka leo naona kimya, jamani naomba wadau...
  7. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu Wengi Sana Hasa Wanawake Wamefanya WhatsApp Sehemu ya Kujifariji

    mie natumia whatsapp ya kwenye computer, nikitoka ofisini kila kitu kinabaki ofisini, usiku nalala bukheri bila bughudha
  8. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Shamsi Vuai Nahodha anaishi New Africa Hotel $280 per day!

    bado watakwambia kuwa serikali haina hela, sasa hizo sijui ni nini
  9. H

    JamiiForums Tanzania KOVA: Kapuya hana kosa la kuhojiwa ni mambo yake binafsi

    Meseji si zipo za kumtishia kifo napo anasema ni mambo binafsi, hii nchi bana du,
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tofauti za kidini na mahusiano....maoni yako tafadhali!

    waende serikalini
  11. H

    JamiiForums Tanzania Darajani Zanzibar Kwachafuka

    msongamano wa magari tu
  12. H

    JamiiForums Tanzania Darajani Zanzibar Kwachafuka

    hakuna fujo, kuko salama tu,
  13. H

    JamiiForums Tanzania Askari mmoja wa JWTZ na jeshi la polisi mmoja wauawa leo hii huko Mkoani Tabora

    ndugu, tabora tembo ni wengi tu fika mbuga ya nyahua ambapo treni hupita mtakumbana na wanyama wengi tu, urambo huko ndio usiseme wamejazana vibaya sana, hivyo usishangae kuwa tabora tembo wanapatikana wapi, na hakuna mbuga wanaibuka tu ghafla kuharibu mazao ya watu
  14. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je Inakuaje, na Kinga lakini mtu kapata Mimba.

    mh mie napita tu
Back
Top Bottom