Kipindi cha kusubiri matokeo ya mitihani kwa shule za msingi na sekondari huwa ni mwezi 1-3. matokeo haya ndio uhamua mwanafunzi huyu aendelee na shule (kidato cha kwanza au kidato cha tano/vyuo vya ufundi) au atafute Maisha kwa namna nyingine. Ndani ya kipindi hiki (miezi 1-3) yamekuwepo...
Kila nikinunua umeme kupitia Mpesa napata hii massage.. The value of parameter 66880000 is incorrect. The receiver organization queried by the organization entity ID or short code does not exist.
Haijawai tokea.. Naanza kuiamini taarifa mliyoukanusha..
Nmefatilia kituo husika nmesoma bango Lao upya kimeandikwa KITUO CHA AFYA tena wakaweka na MUDA WA KAZI 24Hrs
its ALMIGHTY's wishes that we are still alive
Unapereka mgonjwa kituo A cha afya kinachomilikiwa na serikali saa 10 jioni unaambiwa mrete kesho tumefunga, unampereka kituo B kinachomilikiwa na serikali anapewa Huduma tena nzuri..
Naomba mwenye ufahamu na sheria na kanuni za afya anielimishe mwisho wa kupereka wagonjwa kituo cha afya ni saa...
hili tatizo lipo kila mahali na lina muda sasa mimi toka tarehe 7/8 lipo hivyo hivyo nimejaribu kuwapigia bila mafanikio mbaya zaidi wapo kimya hata muongozo hawatupi.
cheti cha form four na form six ni attachment utakazo ambatanisha baada ya kuapply online ukapta application form.. nakala hizo utaziambatanisha baada ya kuwa zimethibitishwa na kamishina wa viapo au hakimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.