DAUDI S KIPANDE
Member
- Aug 17, 2017
- 35
- 8
Wakuu polen na shughuli za kila siku, ningependa kujua iwapo naweza kusaidiwa ni jinsi gani naweza shughlikia makosa yalio jitokeza wakati napakua form ya mkopo
Sehemu ya kwanza ni katika mwaka ya kuzaliwa baada ya kuandika 1995 tumekosea tumeandika 97 nasehem ya pili ni katika index namba ya form 6 ambayo baada ya kuandika /0520 tumeandika /0020
Naomben msaada waungwna kwmba naweza fanya nini kwa hili...
Matusi si jambo jema,,, ahsante na wakati mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu ya kwanza ni katika mwaka ya kuzaliwa baada ya kuandika 1995 tumekosea tumeandika 97 nasehem ya pili ni katika index namba ya form 6 ambayo baada ya kuandika /0520 tumeandika /0020
Naomben msaada waungwna kwmba naweza fanya nini kwa hili...
Matusi si jambo jema,,, ahsante na wakati mwema
Sent using Jamii Forums mobile app