Recent content by hammy J

  1. H

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    Mfano mtu anataka umtengenezee system ya kumwagilia tu bila ya greenhouse ukubwa wa shamba ni robo heka anataka kulima nyanya dharama yaweza kuwa kiasi gani
  2. H

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    So hii 2.5 ni pamoja na kupia udongo na maji pia inajumuisha na kupanda miche ndani ya greenhouse maana sijaelewa tofauti ya mil4.5 na mil2.5 nakumbua ulisema 4.5 unakabiziwa mziko ukiwa kamili kilicho baki ni ufuatiliaji ss hii 2.5 inaishia wapi tafadhali
  3. H

    HOJA BINAFSI YA KUMUENGUA Lady doctor kwenye shindano la MISS CHIT CHAT..

    So km mshindi anajulikana kwnn tunaendelea kuumiza vichwa
  4. H

    Natafuta mwanaume awe rafiki yangu age 45 and above

    Dah hakuna masharti lakini km ni kubadilishana mawazo tu karibu bibie maana maisha ya ss lazima watu wachangie mawazo
  5. H

    Sababu zifanyazo mabinti/wanawake kujiingiza katika tabia ya usagaji

    Huwa wanalazimisha tu mapenzi hayo huwa yanawachosha sn maana kila siku aingiziwa toy
  6. H

    Asali mbichi inauzwa bei poa

    Mi natafuta masoko ya asali mtanisaidiaje masoko ya ndani na nje
  7. H

    Wake za watu

    Mwana kwenye ndoa hakuna mapenzi ndoa ni heshima so km unafikiria kwny ndoa kuna mapenzi imekula kwako
  8. H

    Uzuri wangu sasa umekuwa kero

    ss ww unajisifia mzuri una umbo zuri ukitongozwa na wanaume itakuwaje acha mambo hayo
  9. H

    Natembea na mume wa mtu

    bibie acha utoto umri unaenda unatakiwa na ww uwe na familia yako anakupotezea muda
  10. H

    Tabia hii haipendezi

    tunataka kujuwa mara unapigishwa msuwaki mnalala mzungu wa nne
  11. H

    Ni kwanini hasa hali hii iko kwa mpenzi wangu & utatuzi wake ni nini?!

    inaelekea mkira geto mnakaa km kaka na dada mbona kuna mbinu nyingi tu nitafute kwa muda wako
  12. H

    hivi nyie wakina dada, vijimaneno na chokochoko mwajifunzia wapi??

    Oya figganigga leo utakuja tabata?.
  13. H

    hivi nyie wakina dada, vijimaneno na chokochoko mwajifunzia wapi??

    Oya figganigga leo utakuja tabata?.
Back
Top Bottom