Recent content by Hami

  1. H

    Viongozi wa Uamsho wadai polisi waliwafanyia ukatili

    Wana jamvi naomba mnikumbushe, hivi mh. Lukuvi alisema nini vile kule kanisani!!
  2. H

    Ujenzi wa reli ya kisasa Mombasa - Kigali waanza kwa kasi

    Moja kati ya thread za kipumbavu kabisa, kama wamejenga reli sie tz tufanyaje na reli yao, huwezi kuendesha nchi kwa ushabiki, eti wamejenga reli na sisi kesho tujenge yetu. Hii nchi ya kidemokrasia, kama kikwete kashindwa gombea wewe ili ufanye unacho ona kinafaa. Katika hizi nchi zetu hizi...
  3. H

    Ni mtazamo wangu tu, ukiona poa na wewe jirekebishe

    Kafir ni mtu asie muamini mungu, kama wewe ni muumini wa dini yoyote inayoamini uwepo wa mwenyezi mungu basi jina hilo halikuhusu, we potezea tu!!
  4. H

    Biashara ya miili Iringa noma

    Mchepuko wowote ni malaya tu, hana tofauti yoyote na hao wanaotajwa!!!
  5. H

    Biashara ya miili Iringa noma

    Kwan we inakukera nini, shughuli yenyewe wanafanya kifaragha, wala hawatangazi. Kwa kifupi kama huendi maeneo yao hutakutana nao. Kama ni maadili turudi hatua moja nyuma, vipi kuhusu watu wanaofanya mapenzi kabla ya ndoa, tuwafanyaje?
  6. H

    DIASPORA yupi aliyefanikiwa kiuchumi, kisiasa na kijamii awe mfano?

    Hakuna mtu anaekana uraia isipokuwa ananyang'anywa uraia kama "adhabu" ya kuchukua uraia wa nchi nyingine. This is not fair, tunapaswa tutafute njia mbadala ya kuziba mianya ya matumizi mabaya ya dual citizenship kwa raia wa nje and not by purnishing our own citizens!
  7. H

    DIASPORA yupi aliyefanikiwa kiuchumi, kisiasa na kijamii awe mfano?

    Yaani mkuu hilo ndio jambo la msingi, mi nafikiri tunatakiwa tubadilishe kile kipengere cha kuwanyang'anya uraia watanzania kwa kuwa mi naona sio fair, after all hawa wanaoenda nje wanatusaidia kuachia nafasi kwa ajili yetu tusiokuwa na uwezo wa kutoka. Ila kuna hawa wanaokuja kuomba uraia kwa...
  8. H

    Biashara ya miili Iringa noma

    Hivi lugha sahihi hapo ni biashara ya KUUZA MWILI au KUKODISHA MWILI
  9. H

    Did they actually land on the moon ?

    Kwa jinsi maelezo yako yalivyo, hili jambo unalielewa kwa kiasi kikubwa, sijui ni kwanini unatumia uelewa wako ku-twist ukweli na kuwaingiza wenzio chaka. Yaani story yote umekwenda nayo vizuri sana ila mwisho, kwenye sinema ya nevada, ndipo ulipoacha njia kuu. Tafadhali kamalizie kupitia...
  10. H

    Mutharika asisitiza Ziwa Malawi ni la Wamalawi na amualika JK aje kuvua samaki tu

    Mi nafikiri kikwete amwambie kitu kimoja tu, kama sisi hatuhusiki na hilo ziwa basi tunageuza dampo la uranium waste kupitia mito inayoingia ziwani, wanajua kuwa uranium imegunduliwa namtumbo!!
  11. H

    Kikuku na mawazo nliyoamini tangu kitambo!

    Mi naona upite tu, hapakufai hapa
  12. H

    Wanaume: Piga Ua, wanawake uliosoma nao wameshazeeka

    Tuwasaidie ni wapenzi wetu, tupunguze kufukuzia vibinti vidogo, someone nae atamuacha binti yako au dada yako!
  13. H

    Wanaume: Piga Ua, wanawake uliosoma nao wameshazeeka

    Yaani kwa sisi tulio oa tumeoana msuko msuko wakati wa mimba mpaka kuzaa kwa wake zetu, ile ishu sio mchezo. I cant imagine kwa binti wa miaka 15 wakati mwili bado haujakomaa vizuri, damage yake inakuaje. Badala ya kuwadhihaki nafikiri ajitokeze mtu anaejua haya mambo vizuri aanzishe thread...
  14. H

    Wanaume: Piga Ua, wanawake uliosoma nao wameshazeeka

    Inabidi kuwaonea huruma sana, miili yao inatumika sana, wengi wanaanza mapenzi kabla ya 18 wakati mwanaume bado hata hajui inakuaje, pilika za mimba mpaka kuzaa na kutunza watoto, mwili huo huo. Yaani mwanamke akifika 30 keshamaliza yote ya ulimwengu wa mapenzi wakati mwanaume most likely...
  15. H

    PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

    Ndio maana nimeandika "wenyewe wanasema" mi sijui, tusubiri hukumu tutajua ukweli
Back
Top Bottom