Moja kati ya thread za kipumbavu kabisa, kama wamejenga reli sie tz tufanyaje na reli yao, huwezi kuendesha nchi kwa ushabiki, eti wamejenga reli na sisi kesho tujenge yetu. Hii nchi ya kidemokrasia, kama kikwete kashindwa gombea wewe ili ufanye unacho ona kinafaa.
Katika hizi nchi zetu hizi...
Kwan we inakukera nini, shughuli yenyewe wanafanya kifaragha, wala hawatangazi. Kwa kifupi kama huendi maeneo yao hutakutana nao. Kama ni maadili turudi hatua moja nyuma, vipi kuhusu watu wanaofanya mapenzi kabla ya ndoa, tuwafanyaje?
Hakuna mtu anaekana uraia isipokuwa ananyang'anywa uraia kama "adhabu" ya kuchukua uraia wa nchi nyingine. This is not fair, tunapaswa tutafute njia mbadala ya kuziba mianya ya matumizi mabaya ya dual citizenship kwa raia wa nje and not by purnishing our own citizens!
Yaani mkuu hilo ndio jambo la msingi, mi nafikiri tunatakiwa tubadilishe kile kipengere cha kuwanyang'anya uraia watanzania kwa kuwa mi naona sio fair, after all hawa wanaoenda nje wanatusaidia kuachia nafasi kwa ajili yetu tusiokuwa na uwezo wa kutoka. Ila kuna hawa wanaokuja kuomba uraia kwa...
Kwa jinsi maelezo yako yalivyo, hili jambo unalielewa kwa kiasi kikubwa, sijui ni kwanini unatumia uelewa wako ku-twist ukweli na kuwaingiza wenzio chaka. Yaani story yote umekwenda nayo vizuri sana ila mwisho, kwenye sinema ya nevada, ndipo ulipoacha njia kuu. Tafadhali kamalizie kupitia...
Mi nafikiri kikwete amwambie kitu kimoja tu, kama sisi hatuhusiki na hilo ziwa basi tunageuza dampo la uranium waste kupitia mito inayoingia ziwani, wanajua kuwa uranium imegunduliwa namtumbo!!
Yaani kwa sisi tulio oa tumeoana msuko msuko wakati wa mimba mpaka kuzaa kwa wake zetu, ile ishu sio mchezo. I cant imagine kwa binti wa miaka 15 wakati mwili bado haujakomaa vizuri, damage yake inakuaje. Badala ya kuwadhihaki nafikiri ajitokeze mtu anaejua haya mambo vizuri aanzishe thread...
Inabidi kuwaonea huruma sana, miili yao inatumika sana, wengi wanaanza mapenzi kabla ya 18 wakati mwanaume bado hata hajui inakuaje, pilika za mimba mpaka kuzaa na kutunza watoto, mwili huo huo. Yaani mwanamke akifika 30 keshamaliza yote ya ulimwengu wa mapenzi wakati mwanaume most likely...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.