Labda hujafahamu enzi zao wanamuziki wa kikongo nchini mwao walikua na mvuto mkali na ushindani baina yao... Kiasi cha kuweza hata kuwa na athari kubwa katika siasa za nchi.
Hili jambo dini zimekataza. Msiwashangae wanaoshabikia. Siku zote dhambi kwa mwanadamu ni tamu. Hakika Mungu ndie mwenye elimu..mbona tusitii makatazo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.