Recent content by Hamad Mussa

  1. Hamad Mussa

    JF Party On My Mind

    Haa haaaa haaaa Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
  2. Hamad Mussa

    Tukio la Mwita Waitara limedhihirisha kifo cha Intelijensia baada ya Ujio wa Edward Lowassa na genge lake

    Shida niinayo kwa vijana na wafuasi wa Chadema hawapendi kuambiwa ukweli.
  3. Hamad Mussa

    Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

    Mkipigwa hamkawii kusema mmeibiwa kura[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  4. Hamad Mussa

    Tanzania njia panda: Benki ya Dunia ina hisa mgodi wa Dutwa uliofutiwa leseni kujenga tenki la maji

    Watanzania hasa wanachadema wamekuwa kama mwanamke malaya kila bwana wake alimradi pesa tu.
  5. Hamad Mussa

    Hatimaye Watanzania wajutia uwepo wa CCM madarakani

    Lowasa nilimkataa kwakua hakuwa na uwezo wa kuwashughulikia mafusadi na wabadhilifu kwakua wengi wao walikua upande wake, Lakni pia lazima tukubaliane kuwa kuna baadhi ya mambo ambayo yanahitaji maamuzi magumu na makini kwa lowasa asingeweza kuyashughurikia mf mchakato wa kusuka chama upya kwa...
  6. Hamad Mussa

    Hatimaye Watanzania wajutia uwepo wa CCM madarakani

    Chadema au Chama cha siasa cha upinzani hakina uwezo wa kutoa mgombea mwenye nguvu ambaye atapambana na mgombea wa ccm kama hatotokana na ccm.
  7. Hamad Mussa

    Hatimaye Watanzania wajutia uwepo wa CCM madarakani

    Na Tanzania ndio yenye chama cha siasa chenye uwezo wa kumchafua mtu kwa miaka kadhaa na kumsafish kwa siku moja
  8. Hamad Mussa

    Maafisa wa Nigeria wamekamata mchele wa plastiki

    Sio mchele bana sema chembe chembe za plastic zenye mfanano wa mchele
  9. Hamad Mussa

    Kumbe Jakaya Kikwete ni kiongozi mzuri sana, haya hakuyafanya pengine ana sababu za msingi sana!

    Siyo simile sema watanzania sisi tumezoea kuishi kwa unafiki na hiyo ndio iliyopelekea chama kuwa na wakati mgumu 2015 hatuambiani ukweli, unafiki unafiki tu. Sasa tunapata shida coz Ngosha he is not a politician
  10. Hamad Mussa

    Ni heri ya Lowassa!

    Shida si Magufuli shida ni sisi wananchi kuishi kwa mazoea, kuishi kwa kupiga maneno kila siku na kuishi kwa kulishwa maneno na wanasiasa
  11. Hamad Mussa

    Ni heri ya Lowassa!

    Hivi serious bado mnadhani Lowasa atatoboa 2020 ??
  12. Hamad Mussa

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mshana naomba Tuwsiliane 0767779063 kwa ujumbe wa maandishi.
  13. Hamad Mussa

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Kwa matumizi ya oil katika engine za magari huwa hatujitungii kichwani kuwa ni aina ipi ya oil utumie eti kwakua kwenye gari ya fulani kaona inamfaa zaidi, hapana, Huwa tunafuata Manual Instruction book, kitabu cha kwenye gari ambacho kinakuelekeza jinsi ya kutumia na kulifanyia matengenezo...
  14. Hamad Mussa

    Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

    Mungu hafanyiwi mzaha atii, hakuna mwenye uwezo wa kufufua binadamu zaidi ya mungu kwa mtume wake. Mungu si Athumani jamani wala Renald
Back
Top Bottom