TBS NA TFDA NI WAFUGA VITAMBI MAOFISINI NA WALA RUSHWA TUUU.BIDHAAA MBOVU NA ZILIZOKO CHINI YA KIWANGO NI NYINGI MNO NA WAO PIA WANASHANGAAA HIZO BIDHAAA.
Mzeee Mpili kauli kama hizi yeye huziita takataka.Mke mdogo kamkuta baba na Mali zake halafu uje uzichukue kirahisirahisi tuuu.Walahi tunakuuua huku unajiona.Jackline atulie tuuu alifikiri mdoni atamwachia Mali zote zile
Mkuuu ulichosema ni cha kweli kabisa.Mwezi wa tatu mwaka huu nilisafiri kutoka mbeya to dar.Njianj nikanunua juice hiyo kutika morogoro niliharisha mpaka nikahairisha Safari na kutafuta gest nilale.Niliihisi tuu ni ile juice.Hivyo nikaiacha kuinunua mpaka leo nikiiona naiona kichefuchefu.
Hakuna Cha ushujaaa Wala Nini Hamza alichanganywa na mirindimo ya risasi kutoka pande zote alimojificha.Sasa ndio akamshindwa kumtandika huyo soja na angepigwa Chuma angekufa angelaumiwa mwaka mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.