Recent content by Halopesa

  1. H

    Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

    Kaka umejibu vizuri sana bro.
  2. H

    Kwanini Rais Museveni ameamua kujengea watanzania shule ya kisasa wakati kwake hali mbaya kuliko Tz?

    Kweli kabisa hiyo kitu imeegemea kwenye diplomasia.Na diplomasia ni mchongo Sana kwa national intereste than one person intereste
  3. H

    Ubalozi wa Tanzania US ni vituko tupu

    Duuuub 😰😰😰😰 hatari tupu
  4. H

    Ubalozi wa Tanzania US ni vituko tupu

    😂😂😂😂😂😂 Yaani wakikuona tuuu wabajidistance.Hii ni hatari kubwa Sana asee tena ugeniniii
  5. H

    Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya siku 3 Nchini Misri

    Na. Nimikataba ya niniii vile
  6. H

    TBS na TFDA okoeni maisha yetu kwa kupima ubora wa unga wa mahindi na muhogo unaosagwa mitaani

    TBS NA TFDA NI WAFUGA VITAMBI MAOFISINI NA WALA RUSHWA TUUU.BIDHAAA MBOVU NA ZILIZOKO CHINI YA KIWANGO NI NYINGI MNO NA WAO PIA WANASHANGAAA HIZO BIDHAAA.
  7. H

    Jacqueline Mengi apeta mahakama ya Rufani, mahakama yakubali kumsikiliza kinyume na mapingamizi ya watoto wakubwa

    Mzeee Mpili kauli kama hizi yeye huziita takataka.Mke mdogo kamkuta baba na Mali zake halafu uje uzichukue kirahisirahisi tuuu.Walahi tunakuuua huku unajiona.Jackline atulie tuuu alifikiri mdoni atamwachia Mali zote zile
  8. H

    Ceres Juice inasumu ya patulin, TBS mpo wapi?

    Mkuuu ulichosema ni cha kweli kabisa.Mwezi wa tatu mwaka huu nilisafiri kutoka mbeya to dar.Njianj nikanunua juice hiyo kutika morogoro niliharisha mpaka nikahairisha Safari na kutafuta gest nilale.Niliihisi tuu ni ile juice.Hivyo nikaiacha kuinunua mpaka leo nikiiona naiona kichefuchefu.
  9. H

    Kituo cha television ITV Tanzania, kweli ni Super Brand

    Hata Mimi siangaliagi habari za uchafuuchafu huko ITV Mimi naangaliaga UTV huko ndio superbrand hatari
  10. H

    Mkutano wa UN ni gulio la kununua viongozi wa nchi zinazoendelea

    😲😲😲 Mmmh it's very sad.So what others are still feeling their winner in approaching the UN meeting
  11. H

    Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

    Larry Bwalya sio mzuri hata Hana stamina Kama Chama pia Morrison NI takataka nyingine Simba
  12. H

    Siioni Simba SC Kwenye Robo Fainali CAF

    Kagere is outdated pale Simba.Cha ajabu yupo mpaka leo hiii.Halafu NI but sana
  13. H

    Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

    Hakuna Cha ushujaaa Wala Nini Hamza alichanganywa na mirindimo ya risasi kutoka pande zote alimojificha.Sasa ndio akamshindwa kumtandika huyo soja na angepigwa Chuma angekufa angelaumiwa mwaka mzima
Back
Top Bottom