rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,300
- 24,207
Tbs na fda zetu zinafanywa kazi gani
Ndiyo basi tena, umekwisha na bado ni kijana, kwishney!Dah!! Nazinywa sana, sasa sijui itakuaje...
Dah!! Ninasikitisha sana...Ndiyo basi tena, umekwisha na bado ni kijana, kwishney!
Pole, una baisikeli?Dah!! Ninasikitisha sana...
Sina chochote...Pole, una baisikeli?
Kama nimeelewa ni juice ya ceres ya apple siyo ya matunda mengine.Maana hiyo sumu inaoneka chanzo chake ni Kwenye apple.So mtoa maana uwage specificMataifa saba ya Africa yameiondoa juice ya Ceres sokoni na kuzuia kununuliwa kwa kuwa inakiwango kikubwa cha sumu ya Patulin inayosababisha madhara ya kuhara na kutapika
Nchi za Uganda, Kenya ,DRC , Zambia, Malawi, Seychelles, Mauritius zimelazimika kuondoa juice hii sokoni na kuzuia kuagiza
Japo nchi tajwa zimetumia mwavuli wa COMESA kugomea bidhaa hii inayotengenezwa Africa Kusini ni bora mamlaka za Tanzania kupiga marufuku kwakuwa inauzwa sana hapa nchini na tuko na juices nyingi tu bora za wazawa
USSRView attachment 1973664View attachment 1973665
Unakunywa zipi? Ceres au Cares?Dah!! Nazinywa sana, sasa sijui itakuaje...
Hata subuwufa! Sasa mirathi itatusumbusaSina chochote...
Mkuuu ulichosema ni cha kweli kabisa.Mwezi wa tatu mwaka huu nilisafiri kutoka mbeya to dar.Njianj nikanunua juice hiyo kutika morogoro niliharisha mpaka nikahairisha Safari na kutafuta gest nilale.Niliihisi tuu ni ile juice.Hivyo nikaiacha kuinunua mpaka leo nikiiona naiona kichefuchefu.Mataifa saba ya Africa yameiondoa juice ya Ceres sokoni na kuzuia kununuliwa kwa kuwa inakiwango kikubwa cha sumu ya Patulin inayosababisha madhara ya kuhara na kutapika
Nchi za Uganda, Kenya ,DRC , Zambia, Malawi, Seychelles, Mauritius zimelazimika kuondoa juice hii sokoni na kuzuia kuagiza
Japo nchi tajwa zimetumia mwavuli wa COMESA kugomea bidhaa hii inayotengenezwa Africa Kusini ni bora mamlaka za Tanzania kupiga marufuku kwakuwa inauzwa sana hapa nchini na tuko na juices nyingi tu bora za wazawa
USSRView attachment 1973664View attachment 1973665
mzee hapo kwa ulanz ni balaa mpaka hapo njia panda wenda mizan urudi huku tosa ni lulanzi twa mnofuNipoTanangozi tunapiga ulanzi directly from vitindi. Mtogwaaaaaaaa.
Vifaa vipo wasomi wapo na hicho unachokisema ni hisia zako tu, ila kazi zinafanyika na hatua zinachukuliwa. Tatizo mnataka taasisi zetu zifanye kazi kwa kukurupuka.Hao watu wa TBS wamelala usingizi, sidhani kama wanayo hata analytical procedure ya kuweza ku determine kiwango cha patulin kwenye apple juice achilia mbali hata kuwa na regulatory limits, vitu kama hivyo wakishakagua lile box la juice na kuona linapendeza basi imepita hiyo.........nchi ya bongolala ni ya kuhurumia sana.
Ndo hivyo sasa kazi ionekane ikifanyika, maana mmeshalalamikiwa pia kuhusu bidhaa zilizo chini ya kiwango hasa kutoka china kujaa kwenye soko la bongoland.......Vifaa vipo wasomi wapo na hicho unachokisema ni hisia zako tu, ila kazi zinafanyika na hatua zinachukuliwa. Tatizo mnataka taasisi zetu zifanye kazi kwa kukurupuka.
Huwa najiuliza kwanini juice hiyo inauzwa bei chini hapa kwetu kuliko SAMataifa saba ya Africa yameiondoa juice ya Ceres sokoni na kuzuia kununuliwa kwa kuwa inakiwango kikubwa cha sumu ya Patulin inayosababisha madhara ya kuhara na kutapika
Nchi za Uganda, Kenya ,DRC , Zambia, Malawi, Seychelles, Mauritius zimelazimika kuondoa juice hii sokoni na kuzuia kuagiza
Japo nchi tajwa zimetumia mwavuli wa COMESA kugomea bidhaa hii inayotengenezwa Africa Kusini ni bora mamlaka za Tanzania kupiga marufuku kwakuwa inauzwa sana hapa nchini na tuko na juices nyingi tu bora za wazawa.
USSR
View attachment 1973664View attachment 1973665