Kabisa.Yeye mwenyewe jaji amekubali sasa anapinga nini tenaLogic inakataa ruling ya Jaji. Kama kifungu cha citation hakipo, ushahidi usiingizwe, uwe na madhara au usiwe na madhara. Kama hauna madhara, unauingiza wa nini wakati sheria imegoma?
Logic imekataa hapo. Jaji huyu ni sawa na wale.