Recent content by HALLEVAM

  1. H

    "Microchip" katika New World Order, eti inakuja?!

    unataka kusema hizi simu kwa mtu anayetarajia kwenda mbinguni hazifai? Hebu weka wazi tujue madhara yake
  2. H

    Haya mapenzi yananishinda.....

    Acha hasira chuoni hayo ni mambo ya kawaida. Naamini hata wewe huko uliko kuiba mara moja moja huwezi kuacha. Muache achakachue na wewe chakachua mwisho wa siku mnaoana
  3. H

    Nimeamua kutoka nyumba kubwa na kuingia nyumba ndogo

    Nyumba ndogo hazijengi hata kidogo. Kaa na mwenzio muondoe tofauti zenu na muendeleze familia. Matatizo hayaishi kwa kuyakimbia bali ni kukaa chini na kuyatafutia ufumbuzi. Acha kukwepa majukumu wewe!
  4. H

    Mh JK kwa ajili ya tunu ya utulivu nchini unda tume kusikiliza sauti ya CHADEMA!

    Hao wabunge wa CHADEMA sio wajinga, ni heri wangepewa uhuru bungeni wasikilizwe wanachodai. Kumbukeni hao ni watu wazima na sio watoto wadogo, na wengine ni wanasheria. Mimi naona madai yao ni ya msingi
Back
Top Bottom