Nadhani ni muda muafaka wa UKAWA kuanza kumuandaa Tundu lissu kuwa mgombea wa kiti cha urais, kwani kwa maoni yangu nahisi ndo mtu sahihi kabisa wa kupambana na CHAMA CHA MAKANIKIA.
Sijui munaonaje nyie wadau.
Karibuni kwa mchango
Habari zenu wakuu,
Nina girl friend sehemu zake za sri zinaleta shida. tatizo lake baada ya tendo anadai anapata maumivu makali, anadai hayo yanaambatana uke kujifunga huwezi kurudia tendo tena hata kupitisha kidole.
Maumivu yale anahisi kama kuna vidonda ndani ya uke, amepimwa tukahisi labda...
Nina umri wa miaka 31,natafuta mwanake wa kujenga familia kama mke na mme.sifa awe na umri Kuanzia miaka 22_28,awe mrefu,mcha Mungu pia awe na uhitaji was kuolewa.
Alie tayari anichek pm.
Mimi ni kijana wa miaka 31, nimwajiliwa serikalini, nahitaji mwanamke wa kuishi naye kama mke.
Sifa;
1.Mrefu
2.Mweupe
3.Mcha Mungu
4.Awe tayari kuishi mazingira ya kijijini kwa wakati huu.
Aliye tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.