Tulichagua mtu anaongea kilugha mfululizo kwenye matukio ya kitaifa tunategemea nini?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Mnikosoe kama nitakua nimekosea,

Mwalimu Nyerere alikua Mzanaki, lakini kwenye matukio ya kitaifa sikuwahi kusikia akiongea Kizanaki hata alipopitia kwaobjapo alikua anakifahamu vizuri, Mzee Mkapa ni Mmakua Lakini kwenye matukio ya kitaifa sikuwahi kumsikia akiongea kimakua kila alipopita Pale Masasi kuwasalimia ndugu zake,hali kadhalika mzee JK ni Mkwere na anakifahamu vizuri kilugha chao lakini sikuwahi kusikia akifika pale Chalinze au Msoga akazungumza kilugha.


Ukiona mtu anapenda sana kuongea kinyumbani kila anapokutana na ndugu zake hata kama wanaomzunguka si wa kabla lake mwangalie sana huyo mtu kwenye malezi ya familia yenye mchanganyiko wa makabila tofauti.


Ukitaka kukubaliana na mimi nenda ofisi yeyote ukute kuna kundi flani la watu wa kabila flani wakikutana wanazungumza kilugha bila kujali kuna wengine wa makabila mengine, tazama utendaji wao wa kazi,mbaya zaidi kiongozi awe anatokea kabila hilo.


Tusiishie tu kulalama tu, tukubali tu kua kuna mahali tulikosea!" kutenda kosa si kosa bali kurufia kosa"
 
haishiwi vituko leo hataki kukopa kesho anaomba msaada na mikopo benk za watu nchi tajiri unashindwa kuwekeza bilion mia za ubungo xchng.
 
Sema ulichagua sio tulichagua
Mimi sikumchagua ingawaji ndio anaongoza,
Ok anadumisha Lugha yake labda
Kwenye taifa lenye makabila zaidi ya 120 huwezi kuzungumza kilugha ukiwa kwenu kwa shughuli za kitaifa. Zungumza na nduzu zako ukiwa likozo
 
Sema ulichagua sio tulichagua
Mimi sikumchagua ingawaji ndio anaongoza,
Ok anadumisha Lugha yake labda
Kwenye taifa lenye makabila zaidi ya 120, unatakiwa kuzungumza lugha ya taifa kwenye matukio ya kitaifa.Kilugha zungumza tu ukienda likizo hakuna taabu.
 
Kwenye taifa lenye makabila zaidi ya 120 huwezi kuzungumza kilugha ukiwa kwenu kwa shughuli za kitaifa. Zungumza na nduzu zako ukiwa likozo
Uki quote andiko langu, jaribu kuandika vizuri basi.

nduzu---ndugu.

Jambo lingine sijataka huyo msukuma aongee kisukuma,
kama anataka akaongee na Gwajima na Mokonda.
 
Mnikosoe kama nitakua nimekosea,

Mwalimu Nyerere alikua Mzanaki, lakini kwenye matukio ya kitaifa sikuwahi kusikia akiongea Kizanaki hata alipopitia kwaobjapo alikua anakifahamu vizuri, Mzee Mkapa ni Mmakua Lakini kwenye matukio ya kitaifa sikuwahi kumsikia akiongea kimakua kila alipopita Pale Masasi kuwasalimia ndugu zake,hali kadhalika mzee JK ni Mkwere na anakifahamu vizuri kilugha chao lakini sikuwahi kusikia akifika pale Chalinze au Msoga akazungumza kilugha.


Ukiona mtu anapenda sana kuongea kinyumbani kila anapokutana na ndugu zake hata kama wanaomzunguka si wa kabla lake mwangalie sana huyo mtu kwenye malezi ya familia yenye mchanganyiko wa makabila tofauti.


Ukitaka kukubaliana na mimi nenda ofisi yeyote ukute kuna kundi flani la watu wa kabila flani wakikutana wanazungumza kilugha bila kujali kuna wengine wa makabila mengine, tazama utendaji wao wa kazi,mbaya zaidi kiongozi awe anatokea kabila hilo.


Tusiishie tu kulalama tu, tukubali tu kua kuna mahali tulikosea!" kutenda kosa si kosa bali kurufia kosa"
Mkuu Mahanju, kutenda kosa ni kosa. Lakini kurudia kosa sio kosa ni uamuzi.
"When you repeat a mistake, it is not a mistake anymore, It is a decision".
 
Ukiwa Rais wa nchi si mchezo watu wote wana kuangalia wewe kwa kila jambo!

Nani alikuwa muasisi ya taasisi ya Uraisi Duniani

Na Sijui Rais wa kwanza Duniani alikuwa wa nchi gani.
 
Mnikosoe kama nitakua nimekosea,

Mwalimu Nyerere alikua Mzanaki, lakini kwenye matukio ya kitaifa sikuwahi kusikia akiongea Kizanaki hata alipopitia kwaobjapo alikua anakifahamu vizuri, Mzee Mkapa ni Mmakua Lakini kwenye matukio ya kitaifa sikuwahi kumsikia akiongea kimakua kila alipopita Pale Masasi kuwasalimia ndugu zake,hali kadhalika mzee JK ni Mkwere na anakifahamu vizuri kilugha chao lakini sikuwahi kusikia akifika pale Chalinze au Msoga akazungumza kilugha.


Ukiona mtu anapenda sana kuongea kinyumbani kila anapokutana na ndugu zake hata kama wanaomzunguka si wa kabla lake mwangalie sana huyo mtu kwenye malezi ya familia yenye mchanganyiko wa makabila tofauti.


Ukitaka kukubaliana na mimi nenda ofisi yeyote ukute kuna kundi flani la watu wa kabila flani wakikutana wanazungumza kilugha bila kujali kuna wengine wa makabila mengine, tazama utendaji wao wa kazi,mbaya zaidi kiongozi awe anatokea kabila hilo.


Tusiishie tu kulalama tu, tukubali tu kua kuna mahali tulikosea!" kutenda kosa si kosa bali kurufia kosa"
Na imani wala hata hukumpigia kura ila may be umebanwa sehemu. Hata hivyo nadhani unajaribu kuchopeka lakini hoja huna.

Yamkini ni kweli mzee huyu ni mbovu sana, ila ukweli ni kuwa wakosoaji wake kama wewe mnatumia hoja nyepesi sana na zisizo na mantiki kumkosoa ndio maana anadunda tu.
 
Serikali inatakiwa kuajiri Madaktari katika Vituo vya Afya na kuongeza madaktari katika Hospitali za Wilaya na Mkoa plus rufaa
HAPA KAZI tu maana yake nini? Kuvamia vituo vya Television?

bahati Nzuri Mungu sio Athumani...CCTV imewaanika uchi hadharani na Dunia imewaona

Sifa za kijinga tu...Benki ya DUNIA kutujengea FLYOVERS kwa mikopo ni jambo la kawaida sana...Ila masikini wa Tanzania ni jambo geni

Watanzania wanakufa kwenye foleni na kuumia zaidi kwa kucheleweshwa matibabu...UHABA WA MADOKTA

Wanafunzi wanafeli kwa waalimu kukosa morali

Wananchi wana njaa...pesa hakuna mtaani...Mfumuko wa bei...Shillingi imeanguka thamani

Mnatuletea sifa za kijinga...Mnajisifu kwa pesa za World Bank? Eboooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom