Recent content by Hairfolicle

  1. H

    Jamanii: Mwenye yepesi za apato ya TRA mwezi huu atunyetishe!

    Maana mnyetishaji mkuu inaonekana amekata tamaa...
  2. H

    PUNYETO inamaliza nguvu kazi ya Taifa.

    Taifa ambalo halijali vijana linaathirika vipi? Lingeaza kwa kutoa ajira ili kuokoa nguvu kazi ya taifa...
  3. H

    USHAURI: MTU NA MDOGO WAKE WAMEMWAGA UGALI, JE NIWAMWAGIE MBOGA KWA MPIGO?

    Mkuu, naomba nihamie kwako kwa siku mbili tatu hizi ili na mimi niweze kukupa ushirikiano wa kumwaga mboga!
  4. H

    Mpenzi wangu ananitishia

    Mpotezeee. Ukisimama kumtupia jiwe kila mbwa anayekubwekea hutafika mwisho wa safari uendayo...
  5. H

    Yametimia: Wenye nyumba sasa kulipa kodi

    Wa kulipa kodi sio hawa wa nyumba za elfu ishirini ishirini. Ni wale wenye ma appartment ambayo kodi kwa mwezi ni milioni mbili hadi milioni tano. Wakitulipoisha huku uswazi wote tutahama jiji na kwenda kuishi vijijini... In the end of the day atakaye isoma namba bio mwenye nyumba bali wapangaji.
  6. H

    Wajuzi; Million 10 itanifikisha wapi kwa ujenzi dodoma mjini!?

    Duh, haya majibu yaliyotolewa na wadau yanaleta 'mixed reaction'. Sasa cha kufanya chambua yanayokufaa uyafanyie kazi. Hela mwana haramu. Ikikaa ndani matatizo nayo ndio yanaanza kujitokeza na unaweza kushangaa pesa yote imeliwa. We anza ujenzi. Hata ikiishia kwenye msingi, utakuwa umeshapiga...
Back
Top Bottom