Recent content by hahaha always done

  1. H

    JamiiForums Tanzania Ndevu zote Mashavuni lakini unakata Uno kwa Ufundi na Filimbi Mdomoni

    Kuna kitu unacho yeye Hana, hicho ulichonacho ndiyo sababu ya wewe kumshukuru Mungu, huyu anakata viuno, ndani ya familia yako wote mmesimama Kwa asilimia miamoja! Hakuna kivuruge anayewashangaza familia Nzima,? Kama Hakuna mshukuru Mungu pia, Kwa ufupi hatupaswi kuwaona Na kuwadharau wengine...
  2. H

    JamiiForums Tanzania UDOM: Kafulila aahidi Masters ya PPP | Hii itaifanya Tanzania kuwa miongoni mwanchi chache sana duniani zinazotoa masomo hayo

    Hivi huwa inakuwajekuwaje Mtu Anakuwa kama kaka mwashambwa 😂😂
  3. H

    JamiiForums Tanzania Ndevu zote Mashavuni lakini unakata Uno kwa Ufundi na Filimbi Mdomoni

    Tulia kidogo, vuta pumzi, alafu jiulize Kwa Nini Mimi si kama Hawa!?(DK 5) Kwa Nini wao si kama Mimi!? (DK 5) Ukitafakari Kwa Kina usipolia basi utamshukuru Mungu,au yote Tunapambania Sana hatima, lakini Haiji tunavotaka Bali inavotaka
  4. H

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufahamu kuwa kuna samaki anaweza kuishi miaka hadi 500?

    Rehema Na neema zake Zizidi kuwa juu yako Na zikaonekanike Kwa waliokata Tamaa,
  5. H

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufahamu kuwa kuna samaki anaweza kuishi miaka hadi 500?

    Gentleman una amini Kuna Mungu gentleman😂😂kumradhi
  6. H

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Kuna mtu anafikiri bila yeye kazini hakutatokea chochote, ukimpa likizo anarudi kuwasalimia - Tambua pengo lako kazini linazibika

    Sorry,hivi kumbe nimesikitika Kwa Sauti😂of course uzi hauna mbambamba
  7. H

    JamiiForums Tanzania Hivi wauza magari wa JF wanaishi dunia gani?

    Nimeisikiliza roho yako Zaidi kuliko ujumbe ulioandika, una uaminifu mwingi
  8. H

    JamiiForums Tanzania Hivi wauza magari wa JF wanaishi dunia gani?

    Siku nikitoka Gari ya mkononi ntakutafuta bro
  9. H

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Ntauzia shamba
  10. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Kuna ile story ya 2pac kwenye hit em up Kwamba bwa shatwani alikuwa anaimba mwenyewe kupitia Shakuru, ndio nilichokiona hii episode ya Tano🤣🤣🤣
  11. H

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Bongo ya connection 🤔ngoja nikalime
  12. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui unachowaza na unavonifikiria.. Ila nishafanya maamuzi

    Of course haitakuwa hivo mpenzi, trust me🥴
  13. H

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Endeleeni kumchulia kama MTU mwenye changamoto, usiombe kumuuguza mama yako kwenye nyumba ya kupanga, wala msimtenge , Ila jueni Tu ameteseka Sana kipindi akimuuguza mama yake
  14. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui unachowaza na unavonifikiria.. Ila nishafanya maamuzi

    Njo basi tufanye biashara,Labda tutakuwa kama Zamani🥲
Back
Top Bottom