Recent content by hahaha always done

  1. H

    JamiiForums Tanzania Raia wa Kenya akamatwa Zambia akihusishwa na ujasusi kuvuruga Uchaguzi

    Huyu wa huko nyumbani yeye hajagundulika au alishachukua uraia WA zambia!?
  2. H

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukitembea Dar es salaam hii unakuta majimbo mengi yapo busy kujenga barabara za mitaa ila Jimbo la Kivule hamna kinachofanyika

    Bora dar Kuna hayo hata Kwa majimbo, nilienda Mbeya , inasikitisha Kwa Kweli, nahisi siyo Tanzania
  3. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Kijana toka kantalamba, RIP
  4. H

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?

    Kama umeajiliwa usiende kusoma ualimu Tena. Samahani Nawaza Tu Sina hoja ya msingi😅
  5. H

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Ushabiki WA kibiblia ndio unajibu swali hili, Na ukweli Ni Kwamba ushabiki huohuo ndio unaokamilisha neno Imani, unauliza swali la kibiblia alafu unataka ujibiwe Kwa akili Za ki- fizikia , Unauliza mkanganyiko WA kiimani alafu unataka ujibiwe kisayansi , hopeless kabisa,
  6. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini tutumie MSALABA kama alama ya Ukristo? It was a weapon of execution!

    Pastor:-Kila MTU atachukua msalaba wake Mimi:- mbona barabarani sijaona aliyechukua msalaba wake tayari? Pastor:- Hujaenda hospital ya Moyo ukaona watu wanakufa Kwa sababu ya misalaba mizito!? Mimi:- nimeenda Ila sijaona Pastor:- wewe unakaa wapi, ? Mimi:- Nakaaa buguruni Pastor :- Sawa...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Karibu Tanzania Mhe. Abdel Fattah El - Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri

    Naona vinasaba vya kiafrika kwenye muonekano wake
  8. H

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    Mpauko Alianza hivi,aka Miguu ya Kuku, let's take him serious
  9. H

    JamiiForums Tanzania Nitafurahi sana hawa wazungu wakitolewe na Morocco katika hatua ya robo fainali

    Tulia kwanza, huwezi kunielewa hata kidogo
  10. H

    JamiiForums Tanzania Nitafurahi sana hawa wazungu wakitolewe na Morocco katika hatua ya robo fainali

    Ufaransa Na morroco Na wamechukua morroco , hivo ndio nilivoota, ofcoz mi siyo mpenzi WA Mpira ,
  11. H

    JamiiForums Tanzania Mbunge Dkt. Lugomela: Bungeni Tunakula Msoto, Nashindwa Hata Kulipa Ada za Watoto, ukipata Uspika au Kamati mambo yako mazuri

    Mwambieni tubadirishane aje nanjirinji kama afisa WA kawaida mi niwe mbunge, 07455123452
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

    Hizi pole Za kwenye mitandao huwa Zina Maana kubwa Kwa watu baki kuliko mfiwa, nilikuwa Naona group la WhatsApp taasisi Moja, MTU akiugua wote wanaenda kutoa pole kwenye group wakati Wana namba ya muhusika, nikawa najiuliza hivi Kwa Nini wasimpigie muhusika!? Humu wanapost kuteka mioyo ya...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Sikugonga Kitu Chochote, Lakini Nilipata Ajali: Simulizi ya Tukio la Kushangaza Lililonibadilishia Eneo la Kazi

    Kilichomtokea kiliwahi nitokea miaka Mingi iliyoputa, Sema Mimi nilikuwa Na baiskel, sikuanguka pia maana nilikuwa Katika mwendo WA kawaida Sana, Nilihisi Kuna MTU ananihamisha barabarani, Na Mimi Kwa miguu yote miwili nikakanyaga Chini, nikiwa nimekanyaga chini niliona kabisa baiskel...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    Stori Za Vijana waliokulia ushuani, go go go Orlando
Back
Top Bottom