Kuzaliwa upya si Katika maana ya mwili, Kwamba ukizamishwa ukalowana kote basi Ni Sawa Na kuwekewa udongo mwili wote, no, big no, kuzaliwa upya Ni Kule Kuamini Na kuiishi injili, ubatizo una nguvu Sana ukiamini , (Imani) ,wakati maji Ni ishara Katika Imani, unapowekewa maji tunaamini tunaosha...
Hivi Mungu anakuwa Na mamlaka Zaidi maji yakiwa mengi!?
"Tazama tulizikwa nae Kwa njia ya unatizo " hii kauli ifafanue dada, kama sijakosea kuiquote lakini Ila najua umeielewa
Ushabiki WA kibiblia ndio unajibu swali hili, Na ukweli Ni Kwamba ushabiki huohuo ndio unaokamilisha neno Imani, unauliza swali la kibiblia alafu unataka ujibiwe Kwa akili Za ki- fizikia ,
Unauliza mkanganyiko WA kiimani alafu unataka ujibiwe kisayansi , hopeless kabisa,
Pastor:-Kila MTU atachukua msalaba wake
Mimi:- mbona barabarani sijaona aliyechukua msalaba wake tayari?
Pastor:- Hujaenda hospital ya Moyo ukaona watu wanakufa Kwa sababu ya misalaba mizito!?
Mimi:- nimeenda Ila sijaona
Pastor:- wewe unakaa wapi, ?
Mimi:- Nakaaa buguruni
Pastor :- Sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.