Recent content by hahaha always done

  1. H

    JamiiForums Tanzania Mtengeneza maudhui maarufu - Youtube, aliyekuwa akibeza mambo ya dini, aamua kuokoka na kubatizwa katika maji mengi!

    Kuzaliwa upya si Katika maana ya mwili, Kwamba ukizamishwa ukalowana kote basi Ni Sawa Na kuwekewa udongo mwili wote, no, big no, kuzaliwa upya Ni Kule Kuamini Na kuiishi injili, ubatizo una nguvu Sana ukiamini , (Imani) ,wakati maji Ni ishara Katika Imani, unapowekewa maji tunaamini tunaosha...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Mtengeneza maudhui maarufu - Youtube, aliyekuwa akibeza mambo ya dini, aamua kuokoka na kubatizwa katika maji mengi!

    Hivi Mungu anakuwa Na mamlaka Zaidi maji yakiwa mengi!? "Tazama tulizikwa nae Kwa njia ya unatizo " hii kauli ifafanue dada, kama sijakosea kuiquote lakini Ila najua umeielewa
  3. H

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Incarnating at the wrong time, I must go for resetting
  4. H

    JamiiForums Tanzania CCM Mkoa wa Ruvuma yamuomba Radhi Samia kwa kufanya kazi na Dkt Nchimbi

    Kabila langu,Kabila langu !nimekukosea Nini? au nimekutendea Nini?@u nimekusikitisha kitu gaaan, ilinipasa, ilinipasa ,,,🛐🛐🎶🎶🎶
  5. H

    JamiiForums Tanzania Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha shule

    Hata mtaaluma Ni mwanafamilia Kaka,dawa Ni kumwita Tu kwenye kikao cha familia, tusifike Mbali Kaka😅
  6. H

    JamiiForums Tanzania Nimedokezwa, Palamagamba Kabudi ameongezewa ulinzi kuelekea Mkutano wa Dharura wa CCM huko Dodoma

    kumjua ajae inabidi uache kutumia akili kidogo, ukitumia akili Sana huwezi Jua haya mambo yanaendaje , kuwa zwazwa utaelewa haya mambo
  7. H

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Profesori kalamba joka😂😂 Magamba kabukaa 😅😅atanile mserereko wa tope😂unakwamaje Sasa,shaaaaaaah
  8. H

    JamiiForums Tanzania Raia wa Kenya akamatwa Zambia akihusishwa na ujasusi kuvuruga Uchaguzi

    Huyu wa huko nyumbani yeye hajagundulika au alishachukua uraia WA zambia!?
  9. H

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukitembea Dar es salaam hii unakuta majimbo mengi yapo busy kujenga barabara za mitaa ila Jimbo la Kivule hamna kinachofanyika

    Bora dar Kuna hayo hata Kwa majimbo, nilienda Mbeya , inasikitisha Kwa Kweli, nahisi siyo Tanzania
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Kijana toka kantalamba, RIP
  11. H

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?

    Kama umeajiliwa usiende kusoma ualimu Tena. Samahani Nawaza Tu Sina hoja ya msingi😅
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Ushabiki WA kibiblia ndio unajibu swali hili, Na ukweli Ni Kwamba ushabiki huohuo ndio unaokamilisha neno Imani, unauliza swali la kibiblia alafu unataka ujibiwe Kwa akili Za ki- fizikia , Unauliza mkanganyiko WA kiimani alafu unataka ujibiwe kisayansi , hopeless kabisa,
  13. H

    JamiiForums Tanzania Kwanini tutumie MSALABA kama alama ya Ukristo? It was a weapon of execution!

    Pastor:-Kila MTU atachukua msalaba wake Mimi:- mbona barabarani sijaona aliyechukua msalaba wake tayari? Pastor:- Hujaenda hospital ya Moyo ukaona watu wanakufa Kwa sababu ya misalaba mizito!? Mimi:- nimeenda Ila sijaona Pastor:- wewe unakaa wapi, ? Mimi:- Nakaaa buguruni Pastor :- Sawa...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Karibu Tanzania Mhe. Abdel Fattah El - Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri

    Naona vinasaba vya kiafrika kwenye muonekano wake
  15. H

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    Mpauko Alianza hivi,aka Miguu ya Kuku, let's take him serious
Back
Top Bottom