Inawezekana Ni dalali mzoefu , Ila Iyo Key aliyoingia nayo inashusha energy ya customers 🤔, ,,tumia lugha ya kuikubali bidhaa yako unapofanya marketing, wateja wengi tuna tabia ya kushoboka Na bidhaa ambazo muuzaji anaonekana hatojuta hata kama msiponunua,,
Comments zote sijaona aliyeuliza hizo gari zote zinahudumiwa Na fundi mmoja!?garage Moja??au hata coolant unanunua Duka Moja?? Coz hizi Ni gari tofauti sana Kluger Na runx ,why ziwe Na tatizo Moja!?? Anzia huko kabla hujafika kwenye gari
Watu hamjali kabisa nyuchi zenu,unakutana Na MTU hata hujajua anatokea wapi unapanua,,,,mtakuja kuzaa Na aliens, Sasa ashakukula mengine haya mbona Naona Ni madogo sana, la msingi ulipaswa uheshimu ur vagi,,,kabla hujamruhusu akujue jitahidi umjue yeye,in $out
Watu hamjali kabisa nyuchi zenu,unakutana Na MTU hata hujajua anatokea wapi unapanua,,,,mtakuja kuzaa Na aliens, Sasa ashakukula mengine haya mbona Naona Ni madogo sana, la msingi ulipaswa uheshimu ur vagi,,,kabla hujamruhusu akujue jitahidi umjue yeye,in $out
Kwa tuliokuwepo kipindi cha magu tukashuhudia kilichotokea kwenye mifuko ya hifadhi Za JAMII Na acc Za watu binafsi Za Benki tunaamini Tz Bado si salama kwenye kufanya biashara ya uwekezaji Kwa kutegemea faida ya kuweka fedha ili upate Pesa hivo hivo,yaani kuzungusha faida Kwa kutegemea mzunguko...
Naona maigizo yanaendelea, hakuna mkatoriki wa kulipambania kanisa kwa staili hiyo, wanatafuta sababu ya kusema vikundi vya vurugu vililipwa tarehe 29 na katoliki, na vimelipwa na Leo, MUNGU WA WAKATORIKI HAPIGANIWI ILA ANAJIPIGANIA
Thread ya juzi ya kiingereza bwana mkubwa alikili ,yeye anamtumikia mwenye nguvu, 🤣🤣Kwa tafsiri rahisi siku Chama kubwa ikipoteza nguvu atahamia upande wa pili ambao utakuwa Na nguvu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.