Kuna kitu unacho yeye Hana, hicho ulichonacho ndiyo sababu ya wewe kumshukuru Mungu, huyu anakata viuno, ndani ya familia yako wote mmesimama Kwa asilimia miamoja! Hakuna kivuruge anayewashangaza familia Nzima,? Kama Hakuna mshukuru Mungu pia, Kwa ufupi hatupaswi kuwaona Na kuwadharau wengine...
Tulia kidogo, vuta pumzi, alafu jiulize Kwa Nini Mimi si kama Hawa!?(DK 5) Kwa Nini wao si kama Mimi!? (DK 5)
Ukitafakari Kwa Kina usipolia basi utamshukuru Mungu,au yote
Tunapambania Sana hatima, lakini Haiji tunavotaka Bali inavotaka
Endeleeni kumchulia kama MTU mwenye changamoto, usiombe kumuuguza mama yako kwenye nyumba ya kupanga, wala msimtenge , Ila jueni Tu ameteseka Sana kipindi akimuuguza mama yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.