Recent content by hahaha always done

  1. H

    Msaada kwenye tuta, nimuhamishie kijana wangu wa form 1 shule ya boys au mchanganyiko ?

    Kulinda urithi wa Dunia mpeleke hiyo ya nafasi 4 Hadi 7 Zingatia urijali,puuza vyeti vizuri afu mchelemchele😂😂
  2. H

    Car4Sale 2014 Toyota Hilux iko sokoni, bei yake hadi mwenyewe naogofya.

    Inawezekana Ni dalali mzoefu , Ila Iyo Key aliyoingia nayo inashusha energy ya customers 🤔, ,,tumia lugha ya kuikubali bidhaa yako unapofanya marketing, wateja wengi tuna tabia ya kushoboka Na bidhaa ambazo muuzaji anaonekana hatojuta hata kama msiponunua,,
  3. H

    Taa ya Engine kwenye gari

    Comments zote sijaona aliyeuliza hizo gari zote zinahudumiwa Na fundi mmoja!?garage Moja??au hata coolant unanunua Duka Moja?? Coz hizi Ni gari tofauti sana Kluger Na runx ,why ziwe Na tatizo Moja!?? Anzia huko kabla hujafika kwenye gari
  4. H

    Ushauri wenu tafadhari. Nimfuate huyu mwanaume kumuuliza kwa nini alinidanganya au nifanye?

    Watu hamjali kabisa nyuchi zenu,unakutana Na MTU hata hujajua anatokea wapi unapanua,,,,mtakuja kuzaa Na aliens, Sasa ashakukula mengine haya mbona Naona Ni madogo sana, la msingi ulipaswa uheshimu ur vagi,,,kabla hujamruhusu akujue jitahidi umjue yeye,in $out
  5. H

    Ushauri wenu tafadhari. Nimfuate huyu mwanaume kumuuliza kwa nini alinidanganya au nifanye?

    Watu hamjali kabisa nyuchi zenu,unakutana Na MTU hata hujajua anatokea wapi unapanua,,,,mtakuja kuzaa Na aliens, Sasa ashakukula mengine haya mbona Naona Ni madogo sana, la msingi ulipaswa uheshimu ur vagi,,,kabla hujamruhusu akujue jitahidi umjue yeye,in $out
  6. H

    Bora kuwa single!

    Kuoa au kutokuoa changanya Na zako, ,,usioe tafadhari,Ila kama Ni muhimu jitahidi uoe
  7. H

    Bora kuwa single!

    😂😂😂😂 Sintaoa Wala sintaugua kindezindezi, Kataa ndoa tunza kibunda😂😂 Ofkoz Nina mwanamke Na watoto nane,nakaa nao, Ila sintaoa,Kataa ndoa
  8. H

    KERO Je, UTT AMIS kuna kitu kinafichwa bila sisi wanachama kujua?

    Kwa tuliokuwepo kipindi cha magu tukashuhudia kilichotokea kwenye mifuko ya hifadhi Za JAMII Na acc Za watu binafsi Za Benki tunaamini Tz Bado si salama kwenye kufanya biashara ya uwekezaji Kwa kutegemea faida ya kuweka fedha ili upate Pesa hivo hivo,yaani kuzungusha faida Kwa kutegemea mzunguko...
  9. H

    Aliyewashtaki viongozi wa kanisa katoliki (Lucy Antony) ashushiwa kipigo na watu wasiojulikana

    Naona maigizo yanaendelea, hakuna mkatoriki wa kulipambania kanisa kwa staili hiyo, wanatafuta sababu ya kusema vikundi vya vurugu vililipwa tarehe 29 na katoliki, na vimelipwa na Leo, MUNGU WA WAKATORIKI HAPIGANIWI ILA ANAJIPIGANIA
  10. H

    Hivi wanatuonaje hawa ?

    Kwa nature ya wabongo Ni kawaida, tuliosoma Na watoto wa wakishua tunaelewa kinachoendelea, masikini waga wana shobo sana😅😅
  11. H

    Askari Wetu na Watesi Wetu Mmejifunza Nini Hapa?

    Bro umeandika Kwa hisia sana,pole sana,Yana mwisho
  12. H

    Kwanini vijana wa CCM hawana ushawishi na ni kama wameishiwa na vijana mahiri. Leo nawamegea siri kidogo

    Thread ya juzi ya kiingereza bwana mkubwa alikili ,yeye anamtumikia mwenye nguvu, 🤣🤣Kwa tafsiri rahisi siku Chama kubwa ikipoteza nguvu atahamia upande wa pili ambao utakuwa Na nguvu
Back
Top Bottom