Ushabiki WA kibiblia ndio unajibu swali hili, Na ukweli Ni Kwamba ushabiki huohuo ndio unaokamilisha neno Imani, unauliza swali la kibiblia alafu unataka ujibiwe Kwa akili Za ki- fizikia ,
Unauliza mkanganyiko WA kiimani alafu unataka ujibiwe kisayansi , hopeless kabisa,
Pastor:-Kila MTU atachukua msalaba wake
Mimi:- mbona barabarani sijaona aliyechukua msalaba wake tayari?
Pastor:- Hujaenda hospital ya Moyo ukaona watu wanakufa Kwa sababu ya misalaba mizito!?
Mimi:- nimeenda Ila sijaona
Pastor:- wewe unakaa wapi, ?
Mimi:- Nakaaa buguruni
Pastor :- Sawa...
Hizi pole Za kwenye mitandao huwa Zina Maana kubwa Kwa watu baki kuliko mfiwa, nilikuwa Naona group la WhatsApp taasisi Moja, MTU akiugua wote wanaenda kutoa pole kwenye group wakati Wana namba ya muhusika, nikawa najiuliza hivi Kwa Nini wasimpigie muhusika!? Humu wanapost kuteka mioyo ya...
Kilichomtokea kiliwahi nitokea miaka Mingi iliyoputa, Sema Mimi nilikuwa Na baiskel, sikuanguka pia maana nilikuwa Katika mwendo WA kawaida Sana,
Nilihisi Kuna MTU ananihamisha barabarani, Na Mimi Kwa miguu yote miwili nikakanyaga Chini, nikiwa nimekanyaga chini niliona kabisa baiskel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.