Jamani mwenyewe nashangaaa toka mwezi wa saba nimepeleka ombi langu la paspory nilipata kazi huko dubai..imefika hatua mpaka taasisi iliyokuwa ikiniitaji imekata tamaa...inamaana naelekea kukosa kazi. Nchi yang ktk suala la ajira ndo kwanza inaanza kukusanya mapato. Tufanyeje sisi kumbe tatizo...
Habari wana JF na serikali yangu, kwa kawaida serikali ya Tanzania imechukulia kama suala la raisi kuongoza nchi kwa miaka kumi kama mfumo rasmi.
Na imekuwa ikipoteza fedha nyingi katika maandalizi ya uchaguzi mkuu hasa wabunge na rais na matokeo yake hakuna mabadiliko yoyote badala yake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.