Recent content by hacena

  1. H

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Ni watu sana. Kila kabila lina wajinga. Kabila moja hawawezi kuwa na akili sawa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. H

    Maamuzi ya CHADEMA Asilia

    Acha kujitekenya na kucheka. Hakuna chadema asilia. Slaa sio chadema tena. Bye bye CCM.
  3. H

    Dr. Slaa siyo wa kupuuzwa

    Tayari ameshapuuzwa na hakuna anaeyemjadili. Nyie ndio nnaotengeneza maandamano yenu fake mnamjadili kama vile nyie ni chadema
  4. H

    Siamini ninachokiona sasa hivi ITV

    Mbona humalizia alipowauliza rais wenu nani?,wakajibu Lowassa kundi kubwa na Dogo magufuli
  5. H

    Zitto na ACT ndio wapinzani wa kweli waliobakia, tunawategemea msituangushe, UKAWA wamenunuliwa

    ACT ni chadema B.kwa nijibu wa prof. Mapovu mkumbo
  6. H

    Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

    Kikwete na mkapa wote wanasoma. Ni lazima asome kwa vile hiyo ni Sera ya ukawa sio ajenda zake.
  7. H

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Mvua ya baraka tumeipata. Hali ya hewa ni mzuri kabisa. Ni furaha iliyoje kupata Baraka hii ya mwenyezi Mungu.
  8. H

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Mvua ya baraka tumeipata. Hali ya hewani
  9. H

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Hutaki? Ndio hivyo sasa sauti imeshagoma sasa. Mgonjwa ameshajulikana.
  10. H

    Lowassa live channel ten

    Mgombea ubunge ilala huyo.
  11. H

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Jamaa nasikia sauti ilikata mbeya. Ameshajiangusha mwenyewe kabla ya kuna kutuangusha. Hatufai, tumkatae.
  12. H

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Long live President Lowassa.
Back
Top Bottom