Lowassa live channel ten

Lowassa live channel ten

Tuambieni basi kaongea nini Mh Rais mtarajiwa.....wengine tupo mbali na tv.

Wenzio wanasherekea kuwa leo kajitahidi kutoa sauti. Alichoongea sio muhimu sana, muhimu ni hofu juu ya afya yake ambayo utaniona hata kwa mashabiki wake kwenye thread kama hii. Kesho akihutubia kasimama japo kwa dakika 15 tu utaona utitiri wa thread humu kusifia jinsi gani anafaa kuwa rais kwa sababu kasimama muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom