Dah aisee jamaa hapo kabuni sana maana katika uhalisia machinga wengi ndo bei zao kitu cha elfu 2000 anaanzia 38000 halafu anasema nipe yoyote ulio nayo maana sijala mala sijauza dah tz bana
Kimsingi uwezo Wa mtu wa kufikiri unategemea pia mazingira mfano ni kazi kufikiria kwenda mwezini wakati huna chakula tu na huwezi fikiri matatizo ya jamii wakati ww pia shida. Umasikini njaa na maradhi vimepelekea sisi kuwa waongo tusiojiamini wategemezi na waonevu na hivo wengi wamechagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.