Recent content by habata

  1. H

    Idadi ya majimbo yanayoenda UKAWA 100% mpaka sasa

    Hata Butiama Musoma vijijini Tarime vijijini umedanganya mdau hakuna ushindi
  2. H

    Updates: Mikutano ya Lowassa mkoa wa Dar Es Salaam - Tarehe 7 Septemba, 2015

    Mbona hao watu ni wachache sana au hujui kupiga picha. Sasa amenukisha nn
  3. H

    Mikakati mizito ya Ushindi ya Friends Of Lowassa yaanza kuvuja

    What we want is changes. Lowasa tosha. Kura yangu ntampa. Kwann wamkate wangeacha kura zimkate.
  4. H

    Lowassa apigwa shinikizo kali

    Apewe nchi afurukunyue Hawa kunguni
  5. H

    Lissu na lowassa wakiteta!

    Jamani naomba namba ya Lowassa jamaa akihama na akagombea kura yangu anayo kwa ujasiri wake
  6. H

    Hivi Lowassa amechukua form za Ubunge Monduli?

    Asichukue yeye achukue Urais maana hatuna jinsi kama wameleta jeuri na hawataki kusikia achukue
  7. H

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    No matter what. What we need is change
  8. H

    Audio ya tangazo la Ndorobo na Mangi

    Dah aisee jamaa hapo kabuni sana maana katika uhalisia machinga wengi ndo bei zao kitu cha elfu 2000 anaanzia 38000 halafu anasema nipe yoyote ulio nayo maana sijala mala sijauza dah tz bana
  9. H

    Utafiti: Uwezo wa watanzania kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo sana

    Kimsingi uwezo Wa mtu wa kufikiri unategemea pia mazingira mfano ni kazi kufikiria kwenda mwezini wakati huna chakula tu na huwezi fikiri matatizo ya jamii wakati ww pia shida. Umasikini njaa na maradhi vimepelekea sisi kuwa waongo tusiojiamini wategemezi na waonevu na hivo wengi wamechagua...
Back
Top Bottom