JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Jimbo la Kiteto limewekwa sawa baada ya mvutano mkali kujitokeza kati ya Mbunge aliyemaliza muda wake Ben Nangoro na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Emmanuel Papian kutangazwa rasmi kuwa mshindi wa kura za maoni
Awali Emmanuel Papian alishinda kwa zaidi ya kura elfu tisa dhini ya mbunge wa zamani Ben Nangoro aliyekata rufaa na kuibua mvitano mkali uliosababisha madhara makubwa
Baadhi ya madhara hayo ni kuvunjwa vioo gari la Ole Sendeka aliyetuhumiwa kuja kumfanyia kampeni Nangoro akiwa na kamati ya Siasa ya Mkoa
Pia katika kuweka mambo sawa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto lililazimika kutumia mabomu ya machozi kumwokoa Ole Sendeka na wajumbe wa kamati ya Siasa ya mkoa na Ole Nangoro waliokuwa Ofisi ya CCM kuhakiki matokeo
Nderemo na vifijo vilisikika majira ya saa 12 za jioni hii leo baada ya taarifa kutolewa na chanel five kipindi cha hot mix kuwa EmmanueL Papian ameteuliwa rasmi kugombea Jimbo hilo kupitia CCM
Awali Emmanuel Papian alishinda kwa zaidi ya kura elfu tisa dhini ya mbunge wa zamani Ben Nangoro aliyekata rufaa na kuibua mvitano mkali uliosababisha madhara makubwa
Baadhi ya madhara hayo ni kuvunjwa vioo gari la Ole Sendeka aliyetuhumiwa kuja kumfanyia kampeni Nangoro akiwa na kamati ya Siasa ya Mkoa
Pia katika kuweka mambo sawa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto lililazimika kutumia mabomu ya machozi kumwokoa Ole Sendeka na wajumbe wa kamati ya Siasa ya mkoa na Ole Nangoro waliokuwa Ofisi ya CCM kuhakiki matokeo
Nderemo na vifijo vilisikika majira ya saa 12 za jioni hii leo baada ya taarifa kutolewa na chanel five kipindi cha hot mix kuwa EmmanueL Papian ameteuliwa rasmi kugombea Jimbo hilo kupitia CCM