Recent content by H H Chief

  1. H

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    NJAA mbaya sana usije kuta huyu naye ni musomi mzuri tu ila kageuzwa msukule au anajifanya hayawani na watawala yuawatumikia
  2. H

    Tundu Lissu kumfuata Zitto Kabwe ACT wazalendo?

    Huyu anatuchanganya tusahau ya Kinondoni tujadili ndoto zake za Alnacha
  3. H

    Familia ya Lissu yahofia Lissu kufukuzwa hospitalini

    Hivi una akili timamu kweli hata kama unamcbhukia vipi hadi umwombe kifo-unamjua Mungu kweli ? Au sisiem ndiyo Mungu wako !!!
  4. H

    Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

    Huyu hajui makabila yenye watoto wazuri yeye alichoangalia weupe siyo uzuri wa mwanamke ila Wahaya na Wakurya wamo
  5. H

    Mengi yazidi kuibuka kuhusu Nyalandu

    Hakika mutachonga sana hayo leo ndo munayajua hapo awali mulikuwa wapi mulikuwa mukimulamba miguu yake nyie wajitoa ufahamu chichiem hakika ni vichwa vya maboga
  6. H

    Mimi binafsi naanza kumuelewa RC Mkonda juu ya swala la kuvamia Studio ya Clouds Media!

    Huyu naye ni Bashitelist tu hamna chochote anafanya campaign ua kumsafisha tu
  7. H

    Mimi siku hizi siangalii Tv za Tanzania, naangalia za Kenya tu. Hii inanisaidia kuondoa stress

    Hata mie nilishasahau tv za Tz zinabore sana nimehamia asilimia 95 tv za Kenya na BBC
  8. H

    UDSM yang'aka Prof. Kabudi kutajwa orodha ya wenye vyeti vyenye utata. Yataka watoa orodha waulizwe

    Ebu Magu aguse JWTZ, makatibu wakuu, wakurugenzi mbalimbali, mawizarani na halmashauri na viongozi wa kisiasa wengi hawana cheti hiki ama kile na wala siyo hiyo ya kupanda ngazi polepole kuanzia certificate hiyo si forgery.
  9. H

    UDSM yang'aka Prof. Kabudi kutajwa orodha ya wenye vyeti vyenye utata. Yataka watoa orodha waulizwe

    Hii si ajabu kabisa kuanzia enzi ya Mwalimu watu walipozuiwa kurudia / kukariri madarasa alternative iliyokuwepo kwa kusonga mbele ni kuchukuwa cheti cha ndugu ama hata kuiba na baadaye kusonga mbele kama umefail. It was the order of theday & people were proud of it. Wanasiasa ndo wanaongoza...
  10. H

    OS (operating systems) za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

    Africa kwasehemu kubwa wana - invest kwny uchaguzi ujao kila rais apatapo madaraka halali au isiwe halali
  11. H

    Genge la wabakaji lateka na kubaka watu Dar

    Wanaume wanalawitiwa hawabakwi taf- Kiswahili.
  12. H

    Tujikumbushe: Africa writers series

    Bro umenikmbusha mbali sana - very nice of u
  13. H

    Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

    NOT TRUE U ARE TOTALLY WRONG. Unless ur upstairs not working properly.
  14. H

    Watanzania, hatumjui Paul Makonda?!

    Ng'ombe we utumbo mtupu
  15. H

    Mkapa: Kuhoji uhalali wa Rais Pierre Nkuruzinza ni wehu

    Mkapa hapaswi kuwa mpatanishi ina maana amesahau kilichotokea Burundi ? Hatambui kwamba uchaguzi uliomwingiza Nkurunzinza ulikuwa ni uchaguzi bandia ! Ama kweli naye huyu mzee haswa yeye ndiye MWEHU.
Back
Top Bottom