Nilisoma gazeti moja ambalo lilimnukuu mtu anayeitwa Immanuel Okwi kuwa leo lazima atawfunga Yanga. Na kama atashindwa kufanya hivyo, lazima atatengeneza nafasi kwa wenzake ili wafunge. Je leo alikuwepo kati ya 11 waliocheza? Kama alikuwepo, alifanyaje, alimtengenezea nafasi D. Mwape? Walioliona...
Nilisoma gazeti moja ambalo lilimnukuu mtu anayeitwa Immanuel Okwi kuwa leo lazima atawfunga Yanga. Na kama atashindwa kufanya hivyo, lazima atatengeneza nafasi kwa wenzake ili wafunge. Je leo alikuwepo kati ya 11 waliocheza? Kama alikuwepo, alifanyaje, alimtengenezea nafasi D. Mwape? Walioliona...
Ahsante kwa updates za haraka (mara baada ya mchezo) za msimamo wa ligi. Ila hesabu za hapo nilipoweka bold and underline bado sijayaelewa. Ni makosa ya kutoa (kutafuta the difference) au kumbukumbu za magoli ya kufunga na kufungwa hayako sawa au ni bado maumivu ya matokeo ya jioni ya leo? Niko...
Jamani, sina nafasi ya kufuatilia kwa karibu sana mambo yanayoendelea huko bungeni Dodom, ila JF imekuwa ndiyo sehemu ya kupata taarifa. Kwa kipindi cha wiki nzima nimekuwa nikisoma taarifa za vikao vya bunge na challenges ambazo CDM (chama cha upinzani) kinazipeleka kwa serikali ya CCM na...
Habari zenu wakuu. Nlitamani sana kuchangia mjadala lakini mtandao ulikuwa unaniambia sija-login (japo nilikuwa nina-login). Ikiwa suala la kusema Yanga imebebwa ni jambo tu la utani wa mpira, basi sina tatizo, lakini mie niko mbali na Tz hivyo niliangalia mechi zote kupitia Supersport...
Mbona neno "ZAIDI" kwenye kifupisho cha hii kauli mbiu limesahaulika? ZAIDI limerudiwa mara tatu kukazia umuhimu wake. Kwa vile tumeambiwa chama kilikuwa na "Umaarufu wa Bandia" ina maana tayari kilikuwa kimeshaanza ku- ANGUKA. Sasa utabiri ulioletwa na kauli mbiu ulimaanisha ANGUKA Zaidi.
Nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali katika magazeti na naweza kusema kuwa inaonekana kuna kawaida ya watu/viongozi wa CCM kuchukua kila aina ya silaha wanayoiona itawasaidia kumwangusha mpinzani wao.
Wakati wa kampeni nilisoma Beno Malisa (ambaye naye nafikiri ni Mchagga) akisema "Kule...
Mkuu F Sanga, hili jedwali nimelipenda sana. Japo umesema hukuliweka vizuri, naona limeweka mwelekeo mzuri. Ila ninaona sehemu mbili kwa maoni yangu zingekaa hivi;
Utajiri: Mkapa, Kikwete, Mwinyi, Nyerere
Vita na Ubabe: Nyerere, Mkapa, Kikwete, Mwinyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.