eucalyptos
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 391
- 139
ANGUKA is certain kwa chama cha MAGAMBA
.."Huwezi kusikia tena viongozi wa CCM wakitamba na Ari zaidi, Nguvu zaidi na Kasi zaidi. Wamezimika. Watani zao hutafsiri ashirio hilo kuwa ni kifupi cha ANGUKA na huko ndiko Chadema inahubiri kuwa wanaelekea."
Mbona siwaoni vijana wa Nape kwenye hii thread wandugu? Nadhani wanaukubali huu ukweli hopeless as they are
Hivi Mwanahalisi la nani?