Umeshaambiwa unatokana na mtu kuangukia kichwa, car accident. Au kupigwa NA kitu kichwani. Ma Maelezo ya kifo cha kanumba umeambiwa alianguka na kugonga kichwa sehemu ya nyuma kutoka kwa dada mtu
Anasikiliza apate udaku kidogo ili na yeye akitoka apate cha kusema km wanavyo zusha watu utasema kanumba aliwaambia au walikuwa pale tukio lilipo tokea ati
mwache ajipatie. Habari
Patachimbika haswa. Mi mwenyewe na imagine akiamua kumweleza sasa km wife anaudhibitisho akafungua na kumwonesha. Mtu hapa lazima awe mdogo km pirition
But kuna mwanaume wengine wazoefu anaweza mgeuzia kibao. Ha ha ha.Namwonea huruma haya mambo Bwana .....
Neenda kwenye mtandao wa "be forward" una magari ya bei nzuri. Angalia gharama unaweza pata kwa that money yani ikijumlisha na gharama za usafirishaji.check kwanza huo mtandao.all the best
Kuna mwanaume anamke wake mzuri sana .mwanaume huyu yeye haishi kusifia wanawake kwenye internet na kuomba namba za simu. Na kuwaita Majina dear.
sasa mkewe inamuuna coz mume wake huwa hamsifii hata km kapendeza la na akijiangalia wale wanao sifiwa internet amewapita.
Anaumia sana anashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.