Ubunifu huo na vifaa hivyo vingekuwa kwa ajili ya maendeleo (kilimo, afya, elimu, miundombinu ya ujenzi, usafiri na mawasiliano), tungekuwa mbali sana. Sasa ni kwa ajili ya kuuana - vita!
Ukiwa pekupeku, viatu mkononi, ni bora zaidi. Nyayo zigusane na kusuguana na ardhi/udongo. Tukumbuke kuwa mwili ni udongo na unajengwa kwa udongo. Hata ukichakaa utarudi kuwa udongo.
2530 hiyo ni karne ya 26! Kwa sasa tuko karne ya 21. Ni takribani miaka 500 ijayo ambapo sisi tuliopo, watoto wetu, wajukuu wetu na hata vitukuu wetu; hakuna atakayebaki hai!
Kwanza ni pembeni ya Tanganyika Packers ambapo majengo na uwanja wake bado upo! Aidha, majengo ya viwanda vingi serikali ilishauza awamu ya 3/4 au kutelekeza kabisa, ikiwemo nyumba za serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.