Recent content by Gwappo Mwakatobe

  1. Gwappo Mwakatobe

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Unaweza kufanya mazoezi na bado ukaugua kisukari kutokana na aina ya vyakula na vinywaji unavyotumia. Fanya mazoezi, kula chakula asilia na kunywa kinywaji asilia, hususan maji safi na salama na matunda au juisi yake asilia. Na zaidi sana, wakulima tuanze kulima Kilimo-afya (Agrihealth) na si...
  2. Gwappo Mwakatobe

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Si wote wanafanya kazi ngumu, hasa mijini. Wanaokuwa maofisini hawatumii misuli kufanya kazi. Wakiwa nyumbani wanakaa, wakitoka nje wanaingia kwenye magari kukaa, na wakifika ofisini wanakaa, tena muda mwingi. Kuna vijana wanashinda vijiweni bila kazi yoyote na kujiingiza kwenye ulevi hatarishi...
  3. Gwappo Mwakatobe

    Tanzania yatajwa kuwa nchi ngumu kufanya biashara kutokana na uwepo wa vikwazo vingi

    Kibaya zaidi utakuta hata wenye mamlaka ya kuondoa urasimu huo nao wanalalamikia urasimu unavyokwamisha uchumi. Rais analalama, mawaziri wanalalama na maafisa wa serikali wanalalama pia. Hatuna watu wenye akili na uthubutu wa kuchukua hatua stahiki katika kutatua matatizo yetu. Ufike wakati...
  4. Gwappo Mwakatobe

    Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Inaozesha serikali kisheria, makanisa na misikiti ni mawakala wake.
  5. Gwappo Mwakatobe

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Kwa hiyo iwe "kwahiyo'. Ni neno moja
  6. Gwappo Mwakatobe

    Upinzani anzeni kuibua hoja na sera mbadala za kulikomboa taifa, acha kudandia na kuongelea upuuzi wa wana CCM

    Pole kwa huo mtazamo wako maana hunijui. Naamini ungeujua mchango wangu kwa taifa katika kuleta mabadiliko ya kweli usingeandika hayo. Ila nitakuheshimu sana tu hata ungenitukana, na kamwe sitakuita wa ovyo!
  7. Gwappo Mwakatobe

    Upinzani anzeni kuibua hoja na sera mbadala za kulikomboa taifa, acha kudandia na kuongelea upuuzi wa wana CCM

    Nimekupata sana! Bado nasikika DW, hususan kipindi cha maoni meza ya duara. Abdulrahman alishastaafu, ila anasikika mara mojamoja.
  8. Gwappo Mwakatobe

    Upinzani anzeni kuibua hoja na sera mbadala za kulikomboa taifa, acha kudandia na kuongelea upuuzi wa wana CCM

    Sahihi kabisa, nami namkumbuka sana alivyokuwa anaibua hoja nzito ndani na nje ya bunge
Back
Top Bottom