Unaweza kufanya mazoezi na bado ukaugua kisukari kutokana na aina ya vyakula na vinywaji unavyotumia.
Fanya mazoezi, kula chakula asilia na kunywa kinywaji asilia, hususan maji safi na salama na matunda au juisi yake asilia.
Na zaidi sana, wakulima tuanze kulima Kilimo-afya (Agrihealth) na si...
Si wote wanafanya kazi ngumu, hasa mijini. Wanaokuwa maofisini hawatumii misuli kufanya kazi. Wakiwa nyumbani wanakaa, wakitoka nje wanaingia kwenye magari kukaa, na wakifika ofisini wanakaa, tena muda mwingi.
Kuna vijana wanashinda vijiweni bila kazi yoyote na kujiingiza kwenye ulevi hatarishi...
Kibaya zaidi utakuta hata wenye mamlaka ya kuondoa urasimu huo nao wanalalamikia urasimu unavyokwamisha uchumi. Rais analalama, mawaziri wanalalama na maafisa wa serikali wanalalama pia. Hatuna watu wenye akili na uthubutu wa kuchukua hatua stahiki katika kutatua matatizo yetu.
Ufike wakati...
Pole kwa huo mtazamo wako maana hunijui. Naamini ungeujua mchango wangu kwa taifa katika kuleta mabadiliko ya kweli usingeandika hayo. Ila nitakuheshimu sana tu hata ungenitukana, na kamwe sitakuita wa ovyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.