Recent content by Gwankyamba

  1. G

    The inevitable class struggle between the haves and the have nots...!

    Naamu! Mawazo ya Karl Marxi bado yanaishi.
  2. G

    CHADEMA kuwafukuza wasaliti = A zero sum game?

    ndugu yangu mlipakodi umejadili vema mawazo yako, swali lako ndilo jibu lake ni hakika wakiwafukuza itakuwa ni zero sum game kinacho subiriwa hapa ilitupigie mstari majibu na mawazo yetu ni wakati na ukweli uliopo kwenye dhamiri za pande zote mbili.Ni kamati kuu ya CDM na ZZK na Dr Kitila ndiyo...
  3. G

    Hakuna anayeweza kuizima nyota ya Zitto, ila Mungu pekee

    Mungu muumba mbingu na nchi hashughuliki na nyota za wanadamu, yeye ni Roho na ana operate kwenye roho zinazo mtii, mwamini na kumwabudu. unachokiita nyota ni matokeo ya roho kumtii Mungu na kutenda yaliyo mema na mara zote mafanikio ya namna hii ni endelevu. Ila mungu bahari nyota zake ni kwa...
  4. G

    TBC wasitisha matangazo LIVE bungeni

    Wako sawa kwakuwa TBC inaendeshwa na fedha zao mifukoni na si kodi za watanzania,siku yaja watakuwa nje ya mfumo huu ndipo wataelewa nini maana ya television ya Taifa.
  5. G

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Kwenye International relations actors ni wengi na wananchi ( individuals) ni mojawapo na huko ndiko foreign policy/ diplomacy yaweza anzia. SIYO KILA KITU KITAWEKWA HAPA LAKINI TAMBUENI UHUSIANO NA ISRAEL NI MUHIMU KWA TAIFA LETU.........! devine rule!
  6. G

    Kigwangalla apinga Spika kuleta madaktari wa India Apollo, apingwa na wenzake!

    Nahisi kama jambo linataka kufichwa juu ya afya za wabunge wetu na ndiyo maana wazee wa Apollo wanapigiwa chapuo.
  7. G

    Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?

    mkuu Kigarama unamaanisha nini kusema jioni bendera hushushwa kinyume chake, je ni kwamba usiku hakuna utawala wa kiraia na wa sheria?
  8. G

    Sasa umeamini kwamba Lowassa ni visionary?

    Mara nyingi tabia zinazoonyeshwa na vijana na hata wenye umri mkubwa zina akisi malezi na mafundisho kutoka ngazi ya familia, shule, dini nk. Swali la kujiuliza tunafundishwa nini huko?
  9. G

    Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?

    Kama bendera ni alama ya utawala, basi utawala upo mchana na hata usiku.
  10. G

    Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?

    Aise una akili wewe ndiyo maana ukajiita mwana Mpotevu
  11. G

    Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?

    Ndugu wana jamvi ni siku nyingi najiuliza hivi kwa nini bendera yetu ya Taifa inapepea kuanzia asubuhi hadi jioni na usiku inashushwa? katika maana na dhumuni la bendera ya Taifa ndivyo inavyotakiwa kuwa? vipi nchi nyingine zinafanya kama sisi na kama ni tofauti, utofauti huo unaletwa na nini...
  12. G

    Sheikh Ponda Issa Ponda SIYO Mtanzania....

    Zambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya Mtu, utaendelea tu.....Kambarage.
  13. G

    Upeo wa Maige watia mashaka makubwa!

    Kimtokacho mtu ndicho kimeujaza moyo wake!
Back
Top Bottom