nimemaliza chuo mwaka jana, Binafsi cjapata usumbufu ktk kutafuta kazi, kikubwa nilicho kifanya ni kumtanguliza Mungu kkt kila hatua yangu, nilifunga nakuomba mara kadhaa nikimsihi Mungu anipe kazi,kwakweli Mungu ni mwaminifu amejibu maombi yangu, nimefanya interview moja tu na nasasa na kazi...
dogo acha makuzi, degree level nyingine. Acha majigambo, inakupasa kumshukuru Mungu kwa nafasi ya upendeleo aliyo kupa, si kwamba unajua kuliko wengine
kimsingi hawatendi haki kabisa, ukimya wao CJUI unamaanisha nini, kama kuna sababu za msingi za kuchelewesha majibu watoe updates zozote na wanapoendelea kua kimya tunazidi kua njia panda. Wanajamvi tundelee kupeana taarifa ili tujue nini hatma yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.