Nafasi za kazi NSSF

Nafasi za kazi NSSF

Hivi kuna cheti ambcho hakijawa certified? ahahah

na vipi hao uliowataja wana vifaa vya kutambua kuwa ni cheti original

ukweli unabaki palepale kuwa certification ni ile ambyo imethibitishwa na mamlaka husika ya elimu mfn chuo. NECTA TCU nk

Umetoka usingizini? Hapa tunazungumzia certified COPIES of the ORIGINAL CERTIFICATES. Yaani nakala kutoka cheti halisi. Kinachofanywa na mtu anae certify ni kuonesha kuwa copy iliyotumwa imetolewa kwenye cheti halisi ambacho yeye amekiona kwa macho.

Hiyo hufanywa kwa kuwa muombaji hawezi kutuma vyeti halisi kila anapoomba kazi.
 
Umetoka usingizini? Hapa tunazungumzia certified COPIES of the ORIGINAL CERTIFICATES. Yaani nakala kutoka cheti halisi. Kinachofanywa na mtu anae certify ni kuonesha kuwa copy iliyotumwa imetolewa kwenye cheti halisi ambacho yeye amekiona kwa macho.

Hiyo hufanywa kwa kuwa muombaji hawezi kutuma vyeti halisi kila anapoomba kazi.

Nimekuelewa sana mkuu, una mawazo mazuri na umeongea vizur pia. I rate u 98%
 
Umetoka usingizini? Hapa tunazungumzia certified COPIES of the ORIGINAL CERTIFICATES. Yaani nakala kutoka cheti halisi. Kinachofanywa na mtu anae certify ni kuonesha kuwa copy iliyotumwa imetolewa kwenye cheti halisi ambacho yeye amekiona kwa macho.

Hiyo hufanywa kwa kuwa muombaji hawezi kutuma vyeti halisi kila anapoomba kazi.

tena vinapigwa na mhuri tena
CERTIFIED AS A TRUE COPY wengine wanaandika
 
Ni muda kidogo tangu tulipotuma maombi lakini naona kimya kingi, mwenye updates zozote anijulishe
 
DUET huo ndo ufafanuzi uliowahi kutolewa na sekretariati ya ajira wanaopozungumzia certified hawamaanishi hyo certifucation ya hao mahakimu sijui akina nani

coz ht ukipeleka kwa huyo hakimu au wakili atakutafunia hela yako mwsho wa siku kwenye usaili vueti vinakaguliwa upya

hata mimi mwanzo nilikuwa nadhani hivyo nikaingia gharama

baadaye nikipopata ufafanuzi nikawa natuma bila kupeleka kwa hao wanaoishi kwa mihuri na nikaitwa kwa usaili bila kikwazo

hakuna cheti ambacho hakijawa certified... Kutoa kopy na kumpelekea mgonga mhuri kumpa hela NI MRADI MWINGINE WA KIFISADI

SIJAWAHI ONA TANGAZO LA KAZI LILILOFAFANUA KUWA WANATAKA UTOE KOPY NA KUCERTIFY NA HZO MAMLAKA WALIZOTAJA

WANACHOMAANISHA NI CERTIFICATION YA MAMLAKA ILIYOTOA CHETI AMBAYO INAONEKANA KTK VYETI VYAKO ORIGINAL

HIVYO KUANZIA LEO JAMANI mjue hili kuwa hakuna haja ya kuchosha akili kama hakuna ufafanuzi wa ziada.. Na matumizi mabaya ya fedha yasiyohitajika

kuna mamlaka kama HESLB hawa ndo huwa wanafafanua kwamba hakikisha kopy zako za vyeti zinakuwa certified na hakimu au wakili anayetambulika kisheria.

TUSIDANGANYANE HAPA kwenye ajira hamna hiko kitu coz wakati wa usaili vinakaguliwa..

ILA KAMA UNA HELA YA KUCHEZEA NA VYETI VYAKO UNA WASIWASI NAVYO PELEKA KWA HAO WATU UENDELEE KUWAPA RIZIKI ISIYO YAO ahahah

Jarubu kwanza kulielewa neno CERTIFIED COPIES na utofautishe na neno ORIGINAL COPY halafu urudi tuendelee kueleweshana. Maana nimeona tatizo lako linaanzia hapo kwenye hayo maneno.

Pia jisomee uwajue maafisa viapo kwa mujibu wa sheria za Tanzania halafu uwatofautishe na hao unaosema wahuni wanaishi kwa mihuri na ni mafisadi.

Ukiwa na knowledge kidooogo ya hayo niliyokuomba uyajue haitakupa shida sana kuelewa kinachosemwa hapa.
 
Wadau nasikia hawa jamaa wametoa nafasi za kazi,hebu mwenye hlo tangazo au updates zake tuambiane.

Kama ww mjaidina mdau apply labda al ustadhi shudar bin noor bin wataiyatu maalim darhwesh al haj DAU atakufikiria.
 
Ww unaelewaje kuhusu certification? mana hayo matangazo ya kaz hawasemk kuwa ucertify kuwa ni tru copy ya original copy

tatizo lako umetafsiri certification ktk context moja. Huo ni ujinjga uliokubuhu

Sijajua nia yako ya kubishana abadani. Ebu tueleze unavofahamu kuhusu certification..
 
tena vinapigwa na mhuri tena
CERTIFIED AS A TRUE COPY wengine wanaandika

Indeed. Na afisa viapo aliyepitisha huweka sahihi na cheo chake.

Lengo ni kuhakikisha kwamba waombaji wanaotuma maombi wanavyo vyeti halisi huko walipo. Maana kuna watu wamepoteza vyeti wanazo copy tu za vyeti, ili kuwabaini hawa na wengine wenye michezo ya uchakachuaji wa vyeti ndio maana mchakato unaanzia wakati wa kutuma maombi na unaendelea mpaka utakapo kuwa kazini.
 
Ww unaelewaje kuhusu certification? mana hayo matangazo ya kaz hawasemk kuwa ucertify kuwa ni tru copy ya original copy

tatizo lako umetafsiri certification ktk context moja. Huo ni ujinjga uliokubuhu

natambua umuhimu wa maafisa viapo ila ktk hili msipotoshe umma

Kweli Ualimu ni kazi ngumu na hasa unapokua unafundisha Madukwapa kama huyu.

Kwenye matangazo ya kazi hua unaambiwa uambatanishe kipi kati ya haya hapa chini?

1. Certified COPIES of Certificates
2. Certified Certificates.

Ukichagua jibu nitajua nianzie wapi kukufundisha a e i o u kuhusu suala hili.
 
Indeed. Na afisa viapo aliyepitisha huweka sahihi na cheo chake.

Lengo ni kuhakikisha kwamba waombaji wanaotuma maombi wanavyo vyeti halisi huko walipo. Maana kuna watu wamepoteza vyeti wanazo copy tu za vyeti, ili kuwabaini hawa na wengine wenye michezo ya uchakachuaji wa vyeti ndio maana mchakato unaanzia wakati wa kutuma maombi na unaendelea mpaka utakapo kuwa kazini.

Kwani kupoteza cheti ni hatia?help plz
 
Genive hivi eti why mtu akipoteza cheti hawampi kingne/?uwa sielewi

Ni vigumu kuthibitisha upotevu kwa mamlaka inayotoa vyeti.

Hua wanakwepa matumizi mabaya ya vyeti maana watu wangeweza kuwa wanapeana vyeti hovyo kwa mgongo wa "cheti kimepotea naomba kingine"


Ndio maana Cheti hua ni kimoja na kwa mtu mmoja na sio zaidi.
 
Kwani kupoteza cheti ni hatia?help plz

Kupoteza cheti si hatia kwa mwingine ila dhidi yako mwenyewe kwasababu hutapata kingine.

Unapoomba kazi mamlaka iliyotoa cheti ndio itakua inathibitisha kuwa ilikupa cheti kwa muajiri wako au muajiri wako mtarajiwa.

Kwa hilo nadhani utaona usumbufu mkubwa unajitokeza ambao unakugharimu wewe mwenyewe na si mwingine.
 
Kupoteza cheti si hatia kwa mwingine ila dhidi yako mwenyewe kwasababu hutapata kingine.

Unapoomba kazi mamlaka iliyotoa cheti ndio itakua inathibitisha kuwa ilikupa cheti kwa muajiri wako au muajiri wako mtarajiwa.

Kwa hilo nadhani utaona usumbufu mkubwa unajitokeza ambao unakugharimu wewe mwenyewe na si mwingine.

Asante duet nimekuelewa,ila kwani hakna Njia yeyote ya kuthibitsha kuwa Muombaji ndie mwenye cheti wakampa kingne?cz Nina rafki Yang kwenye ile ishu ya gongo la mboto cheti kiliungua inamgharmu mpaka Leo kama ulovyoelezea sa uwa najiuliza hvi ni hapa tuu nchini kwetu au?wenzetu wanafanyaje can't we think of a better option?
 
Binafsi siwezi peleka cheti changu akatibitishe huyo afisa viapo ilihali hana uhakika kama hiko ni cheti halisi

kuhusu suala la kusema cheti kimepotea mtu anazo kopi tu sidhani kama lina madhara au mantiki kwa mtangaza kazi. Maana ht wakimwita kwa usaili hatokuwa na vyeti halisi

tukubaliane ukweli kuwa upitishaji vyeti kwa hao mnaoita maafisa viapo ni mradi wa kifisadi vinginevyo wawe na mtambo wa kuwawezesha kung'amua kuwa ni cheti halisi

na ndyo maana watu hawapitishi huko kwa hao maafisa viapo na wanaitwa kwenue usaili kama kawa

kwa siku hizi ni ngumu kufanikisha kazi na cheti fake kama wengi mnavyodhani...

MWENYE AKILI TIMAMU NA AMBYE YUKO NEUTRAL NDO ANAWEZA KUELEWA HOJA YANGU NA SYO HUYU duet ambye ni mhanga wa LLB aliyepigwa chini kwa kukosa sifa ya LAW school tehhhhhhh

Pole...
 
Waibien wasiojielewa

nasisitiza ni mpk pale tu employer atakavyosisitiza kama wqnavyofanya HESLB kuwa kopi zipitishwe kwa hao maafisa viapo tena HESLB wamewataja kabisa.. Kozi wao huwa hawana mda wa kukagua vyet

Pole sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom