NAFASI ZA KAZI Graduates International Organization (GIO)

NAFASI ZA KAZI Graduates International Organization (GIO)

Fugitive

Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
16
Reaction score
3
Habar zenu wadau wenye nia tanza, jaman mwenzenu nahitaj kujua juu ya habari za kazi za 70 volunteers zilizokuw zmetangazwa na GIO mwez june 2014 na mwsho wa kutuma maombi ilikuw tareh 31 july 2014.......na tareh 9 mwez wa 8 nilitumiwa email ya kunitaarifu kuwa nimefanikiwa kuchaguliwa na kuwa miongon mwa short listed candidates na katka email hyo walinitaka nitume kiasi cha Tsh 50000 kwa njia ya M-pesa kwa ajili ya matumiz fulan ambayo waliyaorodhesha kuhusiana na training ambayo ilitakiwa ianze leo tareh 6 /09/2914 na niliahidiwa kutumiwa email nyngne tareh 25 /8/2014 ambayo ingenijuza juu ya ratiba na eneo ambalo training hyo ingefanyika , sasa cha kushangaza cjapata tena email yao tangu ile ya kwanza na wala hawapatkan katka namba zao za cmu ambazo walikuw wakipatkana na tareh ndo hyo imekwsha fka mpaka leo cjui kinaendelea nini naomba mnipe jibu wadau au ndo mambo ya bongoo!
 
Duuh! Pole sana! Kama ulituma imekwenda, tatizo utembelei humu ndani coz huo uzi ulikuwepo humu ndani na tulisha tahadharishana juu ya hao watu kuwa ni matapeli! Nashukuru mm sikutoa coz nilikuwa miongoni mwa short listed candidates! POLE SANA MKUU!
 
inaonekana ndio ilikuwa mara yako ya kwanza kuomba kazi, kuwa makini sana kipindi cha kutafuta kazi kuna matapeli wengi, kabla ya kutuma hizo 50 ungeomba ushauri humuhumu jf, sasa 50 imekwenda...
 
Maskini buku hamsini hiyo imeenda hv hv ingesaidia hata ku process application nyingine huku na kule ama kweli wajinga ndio........ Alosema huu msemo hakukosea.
 
hahhaaa haaaaaaa pole sana kaka! tuma tena ili wakutumie email
 
Dah! pole mkuu, mi nashukuru JF walinifumbua macho kimtindo nikasepa mapema mnoooo.
 
Habar zenu wadau wenye nia tanza, jaman mwenzenu nahitaj kujua juu ya habari za kazi za 70 volunteers zilizokuw zmetangazwa na GIO mwez june 2014 na mwsho wa kutuma maombi ilikuw tareh 31 july 2014.......na tareh 9 mwez wa 8 nilitumiwa email ya kunitaarifu kuwa nimefanikiwa kuchaguliwa na kuwa miongon mwa short listed candidates na katka email hyo walinitaka nitume kiasi cha Tsh 50000 kwa njia ya M-pesa kwa ajili ya matumiz fulan ambayo waliyaorodhesha kuhusiana na training ambayo ilitakiwa ianze leo tareh 6 /09/2914 na niliahidiwa kutumiwa email nyngne tareh 25 /8/2014 ambayo ingenijuza juu ya ratiba na eneo ambalo training hyo ingefanyika , sasa cha kushangaza cjapata tena email yao tangu ile ya kwanza na wala hawapatkan katka namba zao za cmu ambazo walikuw wakipatkana na tareh ndo hyo imekwsha fka mpaka leo cjui kinaendelea nini naomba mnipe jibu wadau au ndo mambo ya bongoo!

dah buku 50 yetu,dah imeenda hivi hivi...bora hata tungekula miguu ya kuku kwa mama habiba tungekuwa tumefaudu walau
 
piga simu VODA uombe wairudishe...pengine bado anaendelea kutapeli..incase ikikutwa account ina pesa utarudishiwa.
 
Eti Graduate....lakini bado huwezi kuanalyze mazingira ya utapeli na ukweli. Tangu lini mtu alilipa pesa ili afanyiwe interview?
 
pole sana kijana hata mimi nilitumiwa message hiyo lakini wanan jamvi wakanitahadharisha. so next time kua makini,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom