Recent content by gwang taek

  1. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Mazingira kwenye miradi mikubwa, maeneo yanageuzwa dampo

    Hii CHAMWINO nyumbani kabisa hapa kwa mzee kiwamba 🤔
  2. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Sehemu nzuri ya utalii Morogoro na Arusha

    Achana na Arusha hakuna mpya huko. Nenda morogoro kule choma water fall,udzungwa, mikumi,selous na milima ya tao la mashariki uta enjoy
  3. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Vin Nkolomboka: Kinywaji Halisi Nguvu ya Simba

    Hayo ni mataputapu yenye ladha ya mitishamba 🤗
  4. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Hili la Diamond kujihakikishia kuwa atakuwa tajiri namba moja duniani linaashiria nini katika ulimwengu wa giza?

    Kwanza kabisaaa kuzungumzia ndoto ya kidume mwenzako ni uchokoland na kuwashwer
  5. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Hili la Diamond kujihakikishia kuwa atakuwa tajiri namba moja duniani linaashiria nini katika ulimwengu wa giza?

    Akili za vijana wa.... See more........ Jinga ww
  6. gwang taek

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana aliyetelekezwa na mke siku ya harusi atunukiwa tuzo ya mwanaume bora wa mwaka na Waziri Gwajima

    Dr mimi binafsi napitia changamoto kubwa zaidi ya kunyimwa unyumba na my wangu Kwa miezi 10 sasa, na sijawahi kuchepuka🙃 je natengenezewa tuzo gn ndugu mh???
  7. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Ww Ndio mwehu ila hujijui tu
  8. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Swali la kin'gombe hili
  9. gwang taek

    JamiiForums Tanzania MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

    Huyo Demu alitekwa na akaingizwa kwa nguvu kwenye hilo gari la Mheshimiwa mla tigo???? Tuanzie hapo
  10. gwang taek

    JamiiForums Tanzania MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

    Sasa kosa lake nn hapo
  11. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Njia bora kabisa ya kukijua kingereza ni kuangalia movies zenye subtitles

    Mama anaupiga mwingi.. Mimi mwenyewe naangalia muvi ya roya tua hapa nishajua lugha yote
  12. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Mpaka lini Kariakoo, Gerezani pataendelea kukabiliwa na mafuriko?

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli...
  13. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Naombeni majibu: Mnaosema hawa sio wana wa Israel. Je, waisraeli asilia walienda wapi?

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli...
  14. gwang taek

    JamiiForums Tanzania Nani alikuja na huu Utaratibu wa Kimasikini na wa Kishamba ndani ya Vichwa vya baadhi ya Watanzania?

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli...
Back
Top Bottom