Mkoa wa Geita wilaya ya nyan'gwale kata ya KHARUMWA kuna kituo cha polisi pale.
Watu wa Takukuru kama wanataka uwajibikaji mzuri kwa hiki chombo cha Dola ..
Basi waende pale kufuatilia kesi za mchongo wanazobambikiwa wasukuma wakazi wa nyan'gwale😭
Kile kituo wanathamini pesa na umaarufu wa...
Dr mimi binafsi napitia changamoto kubwa zaidi ya kunyimwa unyumba na my wangu Kwa miezi 10 sasa, na sijawahi kuchepuka🙃 je natengenezewa tuzo gn ndugu mh???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.