Recent content by Gwamanga

  1. G

    Rais Samia kukomba Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Kimarekani kuja kuwekeza Tanzania

    Nchi Ngumu Sana Hii. Maneno Elfu tano la maana Hakuna.
  2. G

    Vodacom Mnakiuka Agizo na makubaliano mliyofanya na Serikali

    Hawa watu Hawa sijui wanajiamin nni!!
  3. G

    Vodacom Mnakiuka Agizo na makubaliano mliyofanya na Serikali

    Wanajukwaa kuanzia leo nimeona mabadiliko kwenye Akaunti yangu ya Mpesa upande wa Tozo za kutuma Pesa kwenda Mitandao mingine na kwenye Tozo za lipa kwa Simu Ndo kusema kuwa vodacom wanapuuza Makubaliano waliyoyaweka, Watanzania wanyonge Tunalia na Tozo hizo!
  4. G

    Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

    Binafsi mimi naona ni mchapio tu, Neno hilo lingekuwa vivid kama asingesema kuwa yesu ndipo alipozaliwa.
  5. G

    SoC01 Vijana ndio uti wa mgongo wa mipango ya kesho, Taifa liwekeze kwao

    Ili tuboreshe mitaala yetu mkuu tunatakiwa kuanza na lipi?!?
  6. G

    SoC01 Suluhisho la Ukosefu wa Ajira Tanzania: Jinsi ninavyoweza kupunguza ukosefu wa Ajira kwa 10% Ndani ya siku moja

    Sisi nyumbani kuna msemo usemao " Umwana wuwundi ahanzula ahomba" ukiwa unamanisha kwamba mtoto wa mwengine asipate wakati wa kutafta, mfano huo ni sawa sawa na serikali yetu haitaki watoto wawengine wapate, wasichokijua kuwa mtu mmoja anapofanikiwa ni rahisi kwa wengine kupanda juu.
  7. G

    SoC01 Suluhisho la Ukosefu wa Ajira Tanzania: Jinsi ninavyoweza kupunguza ukosefu wa Ajira kwa 10% Ndani ya siku moja

    Upo sahihi💯 % Na nikwambie tena kwa tanzania upofu upo wa aina nyingi!
  8. G

    SoC01 Suluhisho la Ukosefu wa Ajira Tanzania: Jinsi ninavyoweza kupunguza ukosefu wa Ajira kwa 10% Ndani ya siku moja

    Sawa sawa, kama sijakosea unamanisha kama taifa lazima tuwe na vitu msingi vya kuvitilia mkazo, tuwe na standard moja inayotakiwa kutuvusha, kama taifa tuwe na vipaumbele vyenye kuleta ukombozi kwa vijana, kismsingi tatizo la ajira limekuwa kubwa sana.
  9. G

    SoC01 Suluhisho la Ukosefu wa Ajira Tanzania: Jinsi ninavyoweza kupunguza ukosefu wa Ajira kwa 10% Ndani ya siku moja

    Kama unatumia App nivgumu kuvote, naomba utumie Browse au operamini ndipo huwa rahisi kiongozi.
  10. G

    SoC01 Tatizo la ajira kwa wasomi, madhara na ufumbuzi wake

    Suluhisho lingine hili hapa soma hii👇🏾 https://www.jamiiforums.com/threads/suluhisho-la-ukosefu-wa-ajira-tanzania-jinsi-ninavyoweza-kupunguza-ukosefu-wa-ajira-kwa-10-ndani-ya-siku-moja.1891135/page-4#post-39829514
  11. G

    SoC01 Suluhu ya kutumia takangumu kama mbolea asilia

    Ajira nyingi zinaweza tengenezwa, Tanzania inahitaji mawazo makubwa kama haya hongera Mshana! https://www.jamiiforums.com/threads/suluhisho-la-ukosefu-wa-ajira-tanzania-jinsi-ninavyoweza-kupunguza-ukosefu-wa-ajira-kwa-10-ndani-ya-siku-moja.1891135/page-4#post-39829514
Back
Top Bottom