Wanajukwaa kuanzia leo nimeona mabadiliko kwenye Akaunti yangu ya Mpesa upande wa Tozo za kutuma Pesa kwenda Mitandao mingine na kwenye Tozo za lipa kwa Simu Ndo kusema kuwa vodacom wanapuuza Makubaliano waliyoyaweka, Watanzania wanyonge Tunalia na Tozo hizo!
Sisi nyumbani kuna msemo usemao " Umwana wuwundi ahanzula ahomba" ukiwa unamanisha kwamba mtoto wa mwengine asipate wakati wa kutafta, mfano huo ni sawa sawa na serikali yetu haitaki watoto wawengine wapate, wasichokijua kuwa mtu mmoja anapofanikiwa ni rahisi kwa wengine kupanda juu.
Sawa sawa, kama sijakosea unamanisha kama taifa lazima tuwe na vitu msingi vya kuvitilia mkazo, tuwe na standard moja inayotakiwa kutuvusha, kama taifa tuwe na vipaumbele vyenye kuleta ukombozi kwa vijana, kismsingi tatizo la ajira limekuwa kubwa sana.
Ajira nyingi zinaweza tengenezwa, Tanzania inahitaji mawazo makubwa kama haya hongera Mshana!
https://www.jamiiforums.com/threads/suluhisho-la-ukosefu-wa-ajira-tanzania-jinsi-ninavyoweza-kupunguza-ukosefu-wa-ajira-kwa-10-ndani-ya-siku-moja.1891135/page-4#post-39829514
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.