Kiingereza hakipunguzi makali ya umaskini wenu. Eti bedsitter!! Yaani mtu na familia yake wanakaa kwenye chumba kimoja!!! Alafu mnavyozaana kama nguruwe utakuja kukuta kwenye chumba wanatoka watu kumi.
Ni chumba kimoja tu na choo. Wajinga sana hawa. Sisi huku nyumba yenye vyumba vichache ni viwili kimoja kikiwa master bedroom, choo cha public, jiko, stoo na balcony. Wao ni upumbavu tu na vitu vya jua kali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.