Hapa napata shida kujua kama ni kweli huo ujumbe unaohisi umefika kwamba ni kweli umefika. Mi naamini huna ulichofikisha. Ulitakiwa ueleze huo ukweli watu wasioujua ambao ndiyo sababu hasa ya watu kuwa na mitazamo hasi. Hata mimi ningesema kweli umefikisha ujumbe
Nimesoma hii kitu vizuri kiasi chake lakini nimegundua wewe hutaki watu ambao wana mtazamo hasi juu ya Rais wetu mpendwa wamtazame kwa mtazamo chanya kama wewe ulivofanya. Ungetaka watu pia wabadilike ungewaeleza hayo mambo yaliyo nyuma ya pazia uliyoyaficha. Vinginevyo watu watakushangaa.
I...
Ameshasema hawezi kuwa na mwanaume ambaye hana uwezo wa kumsaidia akiwa na shida ambazo hazitoagi taarifa. Zinakuja tu ghafla (Dharula).
Kweli hapa mkuu unahitaji kuthibitishiwa kuwa hakupendi au anakupenda?
Ni wazi kuwa huyo hana mahusiano na wewe ila na pesa.
Huyu alikuwa anajaribu kumkumbatia nyuki. Na uzuri au ubaya wa askofu Gwajima kabla hajakuzungumzia anaanza kutoa historia yako fupi kwanza. Ili kusudi mumuelewe mtu vizuri. Sio mbaki na sintofahamu. Hapa angeanza kuongelea ukoo wake kwanzaa alafu ndo amshushe yeye kama yeye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.