Fatima binti Hemedi
Unchokisema ni sawa kabisa ila kuamsha morale ya waafrika na watu bila kukata tamaa katika kusukuma gurudumu hili we need people like imhtope wanaojua real historical background of African continent, mtu akishajijua alikuwa na uwezo kias gani hapo nyuma itasaidia kumfanya...
Hahahaaaaaaa sasa kwann hawakutumwa wazee wa kazi aka wasuojulikana maana sheria hawajui?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tundu Lisu hatakiwi kuonekanika hata anazungumza maana Ngosha wa Chato atashindwa kula hela zake kilaini....
Kwa ufupi angalia kilichomkuta mkuu wa mkoa wa Mwanza sahiv kisa kufatilia miradi ya wakubwa kupitia Bashite
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.