Natafuta kiwanja kwenye mradi wa serikali wa Kisota uliyopo Kigamboni. Ukubwa wa kiwanja uwe kati ya square meter 1700 hadi 2300.
Kama unacho na unauza tafadhali jibu hapa na aweke namba yako ya simu nitakupigia.
Tafadhali iwe ni ndani ya eneo Kisota lililopimwa na serikali tu
Wanatuambia kila siku tunapokosea lakini sisi wenyewe ndio hatutaki kubadilika. Watawala wanafikiri kwa kutumia matumbo yao na wananchi hatutaki kuwawajibisha. Unataka hao wazungu wafanyeje? Siyo kazi yao kwa mfano kwenda bungeni kwetu na kuihoji serikali. Bungeni kwetu kuna mipasho, mbunge...
hotuba kama hizi zilitakiwa ziwe zinarudiwa na vyombo vya habari kila mara kukumbusha watanzania kwamba kuna watu wanayaona matatizo ya nchi hii na wanathubutu kusema ukweli
Ndugu yangu Le Mutuz
Hata sikujui na wala sijawahi ku comment kwenye thread zako. Kwa ujumla umeongea kijinga kama Pinda alivyosema wapigwe tu
Nani alimpiga Ponda risasi? Kwa nini apigwe risasi mbele ya polisi bila polisi kumuona aliyepiga risasi? ujue bunduki siyo mshale
Nani alisema mhalifu...
Akizungumza kupitia TBC1, mwenyekiti wa taifa wa CUF profesa Ibrahim Lipumba amesema amefurahishwa na barua aliyoipokea kutoka kwa Rais Kikwete kumuarifu kwamba kutokana na ugeni mzito atakaokuwa nao siku hiyo ambayo CUF imepanga kuandamana kuelekea Ikulu kuongea na Kikwete, Kikwete hataweza...
Vitendo vya kuboa nyumba za wananchi ili kupisha miradi ya wawekezaji vinaongezeka hapa Tanzania. Takribani kila wiki kuna taarifa za wananchi au mwananchi kubomolewa nyumba bila hata mali zake kuhifadhiwa. Kisha wanatelekezwa bila kupatiwa hifadhi yoyote.
Hata wakilalamika, vyombo vya habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.