VIDEO: Akili ndogo kutawala akili kubwa

VIDEO: Akili ndogo kutawala akili kubwa

Siku ukitokea Maajabu Duniani Serikari ikahamia Dodoma ujue kila kitu hapa Tz kitawezekana lakini Kama kuhamia Dodoma imekuwa vigumu basi tambua mengineyo ni Dodoma staili tu .
 
Hii video iko kwenye cm za wabunge wa ccm karibia wote na huwa wanaiwatch mara kwa mara hata mie nilirushiwa na mmoja wao.

Alichokisema rev msigwa kiliingia kwenye mifupa ya kila mtu aliekuwepo siku hyo bungeni na maono haya yataishi milele
 
Sioni alichokisema/ sioni issues zaidi ya vijembe na mipasho dhidi ya ccm. Sasa kama si kuendeshwa na hisia kuna ujembe gani aliouonesha hapo sasa. Unadhani hayo mawazo au mipasho ya chaplin chaplin na vitabu vingine vya kusadikika. Sijaona point ya kututoa kwenye umasikini badala yake ni michapo tu. Nikupe mfano mzuri tu angalia au kumbuka budget speech ya suzan lyimo utaona au utasikia issues si hayo mambulula ya huyu mchungaji hewa
 
its true, lengo la serikali ni kutatua matatizo ya wananchi, sasa hii yetu naona inayatengeneza!!

watu hawa ni hazina kwa taifa;
 
1.Akili ndogo kuongoza akili kubwa(kinana na maliasili, je Mkiti wake karidhia biashara haramu ya katibu wake?)

2.Wachumi kuombewa,je ipo katika masomo yao?

3.Uzalishaji duni, je hamna sehemu tatizo hasa kwenye kilimo? pia hawapo wananchi wanashindia mlo 1 hata pia kulala njaa?Asubuhi ungeangalia CHANNEL 10.

Iwapo upo kiushabiki sawa ila jaribu kuwa gentleman.
Sioni alichokisema/ sioni issues zaidi ya vijembe na mipasho dhidi ya ccm. Sasa kama si kuendeshwa na hisia kuna ujembe gani aliouonesha hapo sasa. Unadhani hayo mawazo au mipasho ya chaplin chaplin na vitabu vingine vya kusadikika. Sijaona point ya kututoa kwenye umasikini badala yake ni michapo tu. Nikupe mfano mzuri tu angalia au kumbuka budget speech ya suzan lyimo utaona au utasikia issues si hayo mambulula ya huyu mchungaji hewa
 
hotuba kama hizi zilitakiwa ziwe zinarudiwa na vyombo vya habari kila mara kukumbusha watanzania kwamba kuna watu wanayaona matatizo ya nchi hii na wanathubutu kusema ukweli
 
This is a speech to remember. One of the best if not the best. Nitai-replay kwa watoto wangu na vijana eengine ili walau ichanhie katika kuwafanya vijana wetu wawe jasiri wa kusema ya moyoni kwa maslahi ya taifa. Big up Msigwa!
Viva CHADEMA!
 
Hii video iko kwenye cm za wabunge wa ccm karibia wote na huwa wanaiwatch mara kwa mara hata mie nilirushiwa na mmoja wao.

Alichokisema rev msigwa kiliingia kwenye mifupa ya kila mtu aliekuwepo siku hyo bungeni na maono haya yataishi milele
Umesikiliza kwa mtazamo hasi: kimagamba gamba!
 
hii ilikua hotuba bora kabisa katika BUNGE zima la bajeti lililoisha.....!
 
Back
Top Bottom