Nimekuwa nikifanya tafakari sana za juu ya suala la Yesu. Nimefunguka pakubwa sana sina shaka hata kidogo juu ya Uana wa Mungu wa Yesu. Wengi wanapomfikiria Yesu wanajenga kichwani hisia za Picha na Sanamu za Mzungu flani hivi wa Ulaya au Marekani.
Yesu hakuwa mzungu.
Kihistoria na...
Kabisa. Hawa ndo wale pia huwa hawawaki mpaka wafanywe kitu flani. Ni aibu sana mwanaume kuja andika maneno kama haya kwenye kadamnasi. Anakuwa boosted kisha anakuja jisifu. Kesho atakuja andika kuwa akigongwa au kuchomekwa waya kwa nyuma ndo naye ana simamima muda mrefu
Alifundisha unyenyekevu na utu wema. Alijua wafuasi wake watateswa,kuumizwa na kuuawa.akawataka watangaze ukombozi, watangaze upendo. Wasirudishie jino kwa jino, jicho kwa jicho. Ili kutunza amani na kufundisha upendo.
Ni MATUMIZI MABAYA YA UBISHI KUBISHANA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU AU SI MWANA WA MUNGU.
MUISLAMU AMINI YESU SI KITU CHOCHOTE, SI MWANA WA MUNGU, SI MUNGU SI ANYTHING. HIYO IBAKI IMANI YAKO
MKRISTO AMINI UTAKAVYO KUWA NI MWANA WA MUNGU HENCE NI MUNGU MWANA NA ANA UWEZO. HIYO IBAKI IMANI YAKO...
Ni MATUMIZI MABAYA YA UBISHI KUBISHANA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU AU SI MWANA WA MUNGU.
MUISLAMU AMINI YESU SI KITU CHOCHOTE, SI MWANA WA MUNGU, SI MUNGU SI ANYTHING. HIYO IBAKI IMANI YAKO
MKRISTO AMINI UTAKAVYO KUWA NI MWANA WA MUNGU HENCE NI MUNGU MWANA NA ANA UWEZO. HIYO IBAKI IMANI YAKO...
Hakuna ambaye amezungumzia dhehebu na biblia acha tu dhehebu hata Dini haizungumzwi sababu Yesu hakuleta Dini. Mafarisayo na Masadukayo walikuwa watu wa Dini na ndo walimuua Yesu.
Mathayo 6:1______________
Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni.
2 Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na...
Nadhani pia una tatizo la kisaikolojia. Rudi nyumbani. Na ukiwa sometimes na hilo tatizo unaona wenzio au wengine ndo wanakukosea wewe. Siyo wewe unakosea. Nimekusoma nimeona tatizo ni wewe una msongo wa mawazo. Na hilo kwa maisha ya Uingereza linawakuta wengi tu.
Nahitaji mtu ambaye anaweza tengeneza maneno kwa umsmart kabisa ambayo yatakuwa 3D kama ambavyo watu walikuwa wanatengeneza number 3D. Mimi nahitaji maneno na font nitampatia
Ama ambaye anaweza tengeneza stickers ambazo ni chrome metal. Please awasiliane nami kwa kuweka namba au kuni pm
Mmekuwa na tabia ya kuwapigia simu wateja. Binafsi ni mteja ambaye sipendi usumbufu kabisa. Calls zenu za kuniambia promotions sina interest nazo. Sitaki promotions
Na pia nikihitaji kitu si kuna menu yenu na website? Sasa kwa nini mnipigie simu kila mara? Sitaki usumbufu line ni yangu na simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.