Je nani kamuua Dickraka Mwamakula?

Je nani kamuua Dickraka Mwamakula?

bro mshana utaratibu wa kumfunga mtu kamba kwenye gari nimehusikia kwako sijawahi ona, maana ikitokea ajali ni tatizo kubwa linalo weza gharimu maisha ya mfungwa
 
Halafu hii kitu huwa nina hoji sana. Kwanini magari ya kubebea watuhumiwa yanakuwa yamekaa kama magari ya TANAPA kwaajiri ya kuangalizia wanyama mbugani?

Mtu anapakizwa kwenye gari kama kiroba cha mkaa?

Kwanini zitengenezwe gari maalumu za kubeba watuhumiwa wachache na wengi kwa wakati m'moja?

Gari za patrol kwanini zinakuwa ni defender? Gari zinatakiwa kuwa na mkao mzuri ambao utamuweka mtuhumiwa mazingira salama kwake na hata askari. Hivi hatuoni aibu tukitazama wenzetu mataifa yaliyoendelea?
Magari ya polisi hayakidhi vigezo vya kubeba binadam ni magari ya mizigo ndo maana ukibeba abiria kwenye pickup unapigwa faini, ila polisi wanatumia magari hayohayo kubeba watuhumiwa , hayo siyo magari salama ni basi tu.
 
Hakuna mtuhumiwa anaetakiwa kufungwa pingu na kamba kwenye nguzo ya gari, hiyo ni kinyume na utaratibu hairuhusiwi, pingu peke yake inatosha kwaajili ya usalama wa askari na mtuhumiwa pindi inapoweza kutokea ajali yoyote .

Kama inafanywa hivyo ni kinyume na utaratibu kwahiyo isihojiwe kwanini hakufungwa kamba kama vile ni utaratibu, kujirusha inawezekana ktokana na aina ya magari ya polisi yanayotumika ni magari ya wazi, na kuangukia kichwa pia inawezekana kama alikua kafungwa pingu za nyuma.
Kwahiyo hakuwa under guard?
bro mshana utaratibu wa kumfunga mtu kamba kwenye gari nimehusikia kwako sijawahi ona, maana ikitokea ajali ni tatizo kubwa linalo weza gharimu maisha ya mfungwa
Nimenukuu mkuu
 
Ni ngumu sana kutoa ujinga kwenye kichwa cha mpumbavu kama wewe
Sishangai kwa askari kuandika maneno kama haya. Ni kawaida sana kwao. Wengi au asilimia kubwa wanakuwa na stress na depression.
 
Sio lazima kufungwa hayo makambakamba ukizingatia alikua ni polisi mwenzao
 
Hakuna mtuhumiwa anaetakiwa kufungwa pingu na kamba kwenye nguzo ya gari, hiyo ni kinyume na utaratibu hairuhusiwi, pingu peke yake inatosha kwaajili ya usalama wa askari na mtuhumiwa pindi inapoweza kutokea ajali yoyote .

Kama inafanywa hivyo ni kinyume na utaratibu kwahiyo isihojiwe kwanini hakufungwa kamba kama vile ni utaratibu, kujirusha inawezekana ktokana na aina ya magari ya polisi yanayotumika ni magari ya wazi, na kuangukia kichwa pia inawezekana kama alikua kafungwa pingu za nyuma.
Dogo kumbe ukitulia unatemaga madini na kushusha nondo kuntu
 
Hakuna mtuhumiwa anaetakiwa kufungwa pingu na kamba kwenye nguzo ya gari, hiyo ni kinyume na utaratibu hairuhusiwi, pingu peke yake inatosha kwaajili ya usalama wa askari na mtuhumiwa pindi inapoweza kutokea ajali yoyote .

Kama inafanywa hivyo ni kinyume na utaratibu kwahiyo isihojiwe kwanini hakufungwa kamba kama vile ni utaratibu, kujirusha inawezekana ktokana na aina ya magari ya polisi yanayotumika ni magari ya wazi, na kuangukia kichwa pia inawezekana kama alikua kafungwa pingu za nyuma.
Kwahiyo hakuwa under guard?
bro mshana utaratibu wa kumfunga mtu kamba kwenye gari nimehusikia kwako sijawahi ona, maana ikitokea ajali ni tatizo kubwa linalo weza gharimu maisha ya mfungwa
Nimenukuu mkuu
 
Back
Top Bottom