Recent content by gunner's

  1. G

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mwanza arejea CCM

    Kwenye safari abiria wote hawawezi kushuka kituo kimoja. Peoples! powers.
  2. G

    Sheria zinasemaje kuhusu miziki ya bar kwenye makazi ya raia?

    Peleka kero yako ngazi ya kata, mwone diwani wa kata yako mh Paul.
  3. G

    Kubomoa Naura Spring Hotel ni komoakomoa sio bomoabomoa

    Wanatakiwa waanze kubomoa kituo cha police , jengo La TRA, jengo La Ccm, baadhi ya majengo ya cedha ndiyo ifate Naura spring hotel.
  4. G

    Dalili za Lema kuukosa ubunge

    Naona unaota ndoto za mchana wewe, Lema atashinda kwa kishindo kikubwa sana. Chezea Arusha weee
  5. G

    Sumbawanga: Mgombea Ubunge wa Kwela CHADEMA Daniel Ngogo apata ajali

    Poleni sana makamanda, wish you speedily recovery. Hakuna Mungu ni mwema.
  6. G

    Nikaione hali ya Godbless Lema Arusha

    MCCM hayapo arusha kabisa, siku monabani anahutubia kiwanja cha texi sanawari alikuwa na watu 17 tuu ikabidi daladala moja ikasombe ndugu zake wakafika kama 40 ndio akahutubia mkutano na huo mkutano ulikuwa pia uzinduzi wa diwani wa ccm kata ya sekei. Diwani wa sekei hadhubutu kufanya mkutano wa...
  7. G

    Mwigulu Nchemba Amzika Lowassa leo Mwembetogwa, Iringa Mjini

    Mccm bye byeee ikulu njia nyeupe kwa lowassa
  8. G

    Ombi/Wazo: Msaada kwa familia ya Mtoi

    hata mie nitachangia. wazo zuri sana kamanda
  9. G

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Habari mbaya sana kumpoteza kamanda mpambanaji wa Ukweli. Naona kama ni ndiyo vile. Ukawa, Chadema na wana familia poleni sana and RIP kamanda Mtoi.
  10. G

    UKAWA yasambaratika wilaya ya Kwimba

    Viongozi wa ukawa wapo busy majimboni kuchukuwa na kurudisha fomu kuwania nafasi za ubunge na udiwani. Hilo ni jambo dogo kulitatua lisikupe pressure kamanda, tusubiri warejeshe fomu zao majimboni then hatua zichukuliwe. Ukawa ni mpango wa Mungu Hakuna wa kuuvuruga sasa.
  11. G

    Joshua Nassari apata ajali ya chopa

    Yupo selian now
  12. G

    Kwanini CCM wanamtumia mhalifu sugu Jumanne Mjusi?

    Inabidi kwa sasa wananchi watoe hukumu tuu kwani mahakama na policeccm wameshindwa kazi yao.
  13. G

    Kwa mbinu hii ya BVR CCM lazima ishinde

    huo utaratibu huku arusha CHADEMA tumeukataa kwa kutumia nguvu ya uma na wananchi wanaandikishwa vizuri. chezea lemw wee? Msikubali majina yaandikwe wala kujaza form mtu awahi kituoni na aandikishwe
  14. G

    Mpambano wa Lema na tume ya uchaguzi Arusha, Lema aibuka mshindi

    Lema kiboko ya mccm arusha mjini
Back
Top Bottom