Mimi ni mkazi wa kitongoji cha Moshono, Arusha. Ninakaa about 2km kutoka kwenye Bar inayo itwa Siara Pub. Kwenye bar hii muziki unapigwa hadi 10 usiku kila siku (sasa hivi ni 3:49am) na unasikika miles away. Hapa ni nyumbani kwangu lakini sina amani usiku mzima kwa sababu kuna mtu is getting a dime kwenye biashara isiyo nihusu. Kuna viongozi wa mitaa na madiwani ambao pengine hawapati usingizi kama mimi. What's wrong na sheria za serikali za mitaa? Watoto wa shule jirani ya bar hawawezi kujisomea usiku kwa utulivu wanaotaka? Jamani, can someone tell me nini cha kufanya? Na wewe mmiliki wa Siara Pub na wengine wa aina hiyo, mnadhani mnatenda haki kwa raia kama mimi eti kwa sababu mnatafuta rizki!!