Umeanza vzur lakin umaliziaji wako pumba 2pu hvi mi mwalimu niende JKT nkafanyaje au na ww umeanza kulishwa sumu na Mwigulu ciwez kufanya kaz kw moyo mmoja huku famullia yngu ina2mia chin ya dola moja kwa siku,siwez kufundisha vizur wakat nafundsha wanafunz zaid ya 60 ktk darsa moja kw wakati...
We nae n miongon mwa wasomi wapumbavu mikataba umesain mwenyewe huko haf xaiz nsaidien kunambia mshahara wng my friend try to be serious bana, kwn wakat unatia sahihi ulisain sh ngap ??uliza v2 loguc bana kwnza mshahara n siri y mwajiliwa mwenyewe mna2jazia threads zixizokua na maana
Huyo co mwanamume wa
ukweli mwanamume wa kweli habugii mipombe ovyo ovyo mwanamume wa kweli ana2lia na mke au mpenz wake 1 hatapitapi ovyo ovyo ka huyo huyo n wakiume sio mwanamume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.